Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kumbuka Abdul Wahid Sykes ndio alimkaribisha Nyerere alipotoka Pugu, au hujui hilo?
Kwani pugu sio dar es salaam?
Hatahivyo ukweli ni kwamba sykes alimkaribisha kwake Nyerere. Baadae wazee wa gerezani wakagundua kwamba hawakuwa na uwezo wa kumshawishi mwingereza awape uhuru isipokuwa Nyerere. Wakamkabidhi uongozi wa TAA na baadae Nyerere akai transform TAA toka kuwa social club na kuwa TANU chama cha siasa na hatimaye Tanganyika ikapata uhuru chini ya uongozi shupavu wa Nyerere.