dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,376
Wakuu; kwa kujua au kutokujua, kwa makusudi au kwa bahati mbaya kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu hasa ni akina nani waliodai Uhuru wa Taifa letu Tanganyika.
Mh. Rais Kikwete leo kaweka kila kitu hadharani kumbe ni wazee 17 kutoka pande zote za nchi yetu walishiriki kikamilifu kudai uhuru wetu kinyume na historia inavyopindishwa au kuaminishwa kwamba ni watu wa Kariakoo pekee walifanya hivyo.
Tafadhali, kama kuna mwenye list kamili aliyoitaja Rais pale Uwanja wa Uhuru leo naomba aiweke humu. Hii ni muhimu sana na itatusaidia kuweka historia sawa tofauti na makala fulani iliyomo humu ambayo imejaa upotoshaji wa kutupwa.
Nawasilisha.
UPDATES: Waasisi 17 wa Uhuru wetu kwa mujibu wa alivyowataja Mh. Rais hawa hapa:
Julius Kambarage Nyerere, Ali Sykes, Lameck Makaranga, Gosbert Milinga, Gelmandus Pacha, Joseph Kimalando, Japhet Kirilo, Abubakar Ilanga, Saadan Kandoro, Suleiman Kitwara, Kisunguta Kabara, Tewa Said Tewa, Dosa Aziz, Patrick Kunambi, Joseph Kasela-Bantu, John Rupia, Abdul Wahid Sykes.
Mh. Rais Kikwete leo kaweka kila kitu hadharani kumbe ni wazee 17 kutoka pande zote za nchi yetu walishiriki kikamilifu kudai uhuru wetu kinyume na historia inavyopindishwa au kuaminishwa kwamba ni watu wa Kariakoo pekee walifanya hivyo.
Tafadhali, kama kuna mwenye list kamili aliyoitaja Rais pale Uwanja wa Uhuru leo naomba aiweke humu. Hii ni muhimu sana na itatusaidia kuweka historia sawa tofauti na makala fulani iliyomo humu ambayo imejaa upotoshaji wa kutupwa.
Nawasilisha.
UPDATES: Waasisi 17 wa Uhuru wetu kwa mujibu wa alivyowataja Mh. Rais hawa hapa:
Julius Kambarage Nyerere, Ali Sykes, Lameck Makaranga, Gosbert Milinga, Gelmandus Pacha, Joseph Kimalando, Japhet Kirilo, Abubakar Ilanga, Saadan Kandoro, Suleiman Kitwara, Kisunguta Kabara, Tewa Said Tewa, Dosa Aziz, Patrick Kunambi, Joseph Kasela-Bantu, John Rupia, Abdul Wahid Sykes.