Kwa kweli wazazi nao are playing important role kwenye maisha yetu. Labda kabla huyo dada hajafikia kufanya uamuzi wowote ajaribu kukaa chini aongee na wazazi wake. Awaeleze kwa nini amekubali kurudiana na mwenzi wake na kumsamehe. Kuna siri kubwa wazazi ambayo si ajabu wanaijua, lakini kama kawaida ya mila zetu za Kitz sio rahisi kuzisema. Na wakati anaongea na wazazi wake asiwashirikishe watu wengine ajaribu kupata privacy ya wao watatu.
Naomba kuuliza swali la kizushi, walienda kupima mara ngapi? Isiwe na ile mara moja wakaonekana wote safi wakaanzia hapo. Ikumbukwe kupima kunatakiwa mara tatu ili mtu kuwa na uhakika zaidi. Haya mambo ya relationships ni magumu kwa kweli. Na je, akirudi ndani ya nyumba na ikatokea the same scene ndo atakuwa akifanya mchezo wa kuja na kuondoka? Hilo pia anatakiwa kuliweka kwenye consideration, manake kuomba msamaha na kurudiana sio mwisho wa matatizo. Ndo mwanzo wa majaribu mengi ambayo anatakiwa kujua jinsi ya kukabiliana nayo.
Naomba kuuliza swali la kizushi, walienda kupima mara ngapi? Isiwe na ile mara moja wakaonekana wote safi wakaanzia hapo. Ikumbukwe kupima kunatakiwa mara tatu ili mtu kuwa na uhakika zaidi. Haya mambo ya relationships ni magumu kwa kweli. Na je, akirudi ndani ya nyumba na ikatokea the same scene ndo atakuwa akifanya mchezo wa kuja na kuondoka? Hilo pia anatakiwa kuliweka kwenye consideration, manake kuomba msamaha na kurudiana sio mwisho wa matatizo. Ndo mwanzo wa majaribu mengi ambayo anatakiwa kujua jinsi ya kukabiliana nayo.