Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,113
- 8,351
Wewe umejibu kwa kukurupuka.Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?
Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..
Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Mleta mada ni msichana....haya mjibu tena!