Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Head's Up: Maneno nitakayoandika hapa haimaanishi kua nina dharau Uweza na Uumbaji/ Status ya-wa mwanamke katika Jamii.
Kwanza kabisa mimi ni mpenzi wa Superhero based content, hasa content zinazotengenezwa na kampuni ya Marvel. Muvi hizi zinapendwa na watu wengi sana duniani wa rika zote na Watoto wamekua wakiwatumia Superheroes mabalimbali kama role models wao kwa kuvaa nguo au kutumia "Toys" za superheroes.
November 5 mwaka huu Ilitoka muvi ya Eternals kutoka Marvel studios, Kwenye Muvi hiyo moja kati ya Superhero aliyomo ameigiza kama superhero ambaye anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (Gay) kwenye muvi hiyo pia ameolewa na amezaa mtoto (Yupo yeye Superhero, mtoto na Mume wake)
2018 walipotangaza kwamba watamleta Muhusika wakwanza amabe atakaua anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja basi nilidhani Muvi hiyo itaapandishwa daraja na kua R-Rated (Restricted Rate) au PG 16 maana muvi zao Marvel zote hua ni PG13. Cha kushangaza ni kua muvi hiyk imepewa daraja la Parental Guide (PG) 13 yaani watoto wenye miaka 13 kupanda juu ndio wanaruhusiwa kuitazama.
Kwa wazungu angalau wao wapo punctual kufuatili mtoto anatazama kitu gani na kipo rated vipi lakini huku kwetu hakuna mzazi a anayejisumbua kujua hivi vitu Bora wazungu mtoto wa 13yrs anajitambua ila huku kwetu anakua bado kabisa. Sasa imagine mtoto wako wa miaka 13 au chini ya hapo anaona superhero wake anayempenda ni mwanaume na ana mtoto na mume unadhani anajifunza nini hapo???? Sio anaandaliwa mazingira ya kujua kwamba Mwanaume kua na mume ni sawa tu .
Kama nilivyo sema watoto wengi wanapenda superhero movies kutoka kama huamini uliza mtoto wako superhero gani anampenda uone atakavyowataja kibao.
Sio hovyo tu marvel studio chini ya Disney Company wameanzisha program ya kuswap superhero karibu wote wa kiume na kua replaced na wanawake.
Mfano: Loki kawa replaced na Sylvie, Thor replaced by Jane, Black Panther replaced by Shuri Nk nk.
Logic hapo ni kwamba Mtoto wa kiume anakua anaona kwa Mwanaume kua mwanamke ni jambo la kawaida
Na kwa Mwanaume kumfaya mwanamke kua role model wako ni jabo la kawaida...kwa tamaduni za afrika hasa hapa kwetu ni jambo la aibu na baya zaidi (sio maoni yangu) kwa Mwanaume kumuona mwanamke kua ndie Superior kwenye jamii na maisha yake.
Wazazi kuweni makini, swala la kupromote mapenzi ya jinsia moja kwenye jamii yanafanywa kwa nguvu zote na kwa kila njia. Kwa sisi waafrika Wanaopromote wala hawadeal tena na nyie watu wazima/wazazi muwe na mapenzi ya jinsia moja bali wanadeal na watoto zenu kuwaandaa kuona ni jambo la kawaida. Wanahakikisha wanakontroo kipi watoto waone,watoto wasome, watoto wasikilize na wanajua nyie wazazi wa afrika sio wafuatiliaji wa mambo.
Mambo ya PG hua mnaona ni nembo tu kwenye kipindi au Muvi.
Mtaishia kulalamika tu kwamba muvi za sasa zinapromote haya mambo wakati ninyi wenyewe sio wafuatiliaji na hamuoni umuhimu wa kujua nini ni nini...Kama wazazi wa kipato vha kati mtoto anaachiwa Smartphone haina Firewall anaingia popote pae anapoweza. Anafunguliwa Acc Netflix huko ndio kuna uchafu wote wa jinisa moja umejaa.
Kama unampenda mwanao usimuache atumie Streaming Channel kuangalia Cartoon au muvi kama vile Netflix, Peacock,Hulu,HBO, AMC nk nk
Ni hayo tu wakuu poleni kuwachosha✌️✌️
Muvi hii haifai kuangalia mwanao mwenye umri chini ya miaka 18. Take care kama anapenda superhero movie ataitafuta aione soon inakua released kwenye Streaming Channel na torrents
Kwanza kabisa mimi ni mpenzi wa Superhero based content, hasa content zinazotengenezwa na kampuni ya Marvel. Muvi hizi zinapendwa na watu wengi sana duniani wa rika zote na Watoto wamekua wakiwatumia Superheroes mabalimbali kama role models wao kwa kuvaa nguo au kutumia "Toys" za superheroes.
November 5 mwaka huu Ilitoka muvi ya Eternals kutoka Marvel studios, Kwenye Muvi hiyo moja kati ya Superhero aliyomo ameigiza kama superhero ambaye anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (Gay) kwenye muvi hiyo pia ameolewa na amezaa mtoto (Yupo yeye Superhero, mtoto na Mume wake)
2018 walipotangaza kwamba watamleta Muhusika wakwanza amabe atakaua anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja basi nilidhani Muvi hiyo itaapandishwa daraja na kua R-Rated (Restricted Rate) au PG 16 maana muvi zao Marvel zote hua ni PG13. Cha kushangaza ni kua muvi hiyk imepewa daraja la Parental Guide (PG) 13 yaani watoto wenye miaka 13 kupanda juu ndio wanaruhusiwa kuitazama.
Kwa wazungu angalau wao wapo punctual kufuatili mtoto anatazama kitu gani na kipo rated vipi lakini huku kwetu hakuna mzazi a anayejisumbua kujua hivi vitu Bora wazungu mtoto wa 13yrs anajitambua ila huku kwetu anakua bado kabisa. Sasa imagine mtoto wako wa miaka 13 au chini ya hapo anaona superhero wake anayempenda ni mwanaume na ana mtoto na mume unadhani anajifunza nini hapo???? Sio anaandaliwa mazingira ya kujua kwamba Mwanaume kua na mume ni sawa tu .
Kama nilivyo sema watoto wengi wanapenda superhero movies kutoka kama huamini uliza mtoto wako superhero gani anampenda uone atakavyowataja kibao.
Sio hovyo tu marvel studio chini ya Disney Company wameanzisha program ya kuswap superhero karibu wote wa kiume na kua replaced na wanawake.
Mfano: Loki kawa replaced na Sylvie, Thor replaced by Jane, Black Panther replaced by Shuri Nk nk.
Logic hapo ni kwamba Mtoto wa kiume anakua anaona kwa Mwanaume kua mwanamke ni jambo la kawaida
Na kwa Mwanaume kumfaya mwanamke kua role model wako ni jabo la kawaida...kwa tamaduni za afrika hasa hapa kwetu ni jambo la aibu na baya zaidi (sio maoni yangu) kwa Mwanaume kumuona mwanamke kua ndie Superior kwenye jamii na maisha yake.
Wazazi kuweni makini, swala la kupromote mapenzi ya jinsia moja kwenye jamii yanafanywa kwa nguvu zote na kwa kila njia. Kwa sisi waafrika Wanaopromote wala hawadeal tena na nyie watu wazima/wazazi muwe na mapenzi ya jinsia moja bali wanadeal na watoto zenu kuwaandaa kuona ni jambo la kawaida. Wanahakikisha wanakontroo kipi watoto waone,watoto wasome, watoto wasikilize na wanajua nyie wazazi wa afrika sio wafuatiliaji wa mambo.
Mambo ya PG hua mnaona ni nembo tu kwenye kipindi au Muvi.
Mtaishia kulalamika tu kwamba muvi za sasa zinapromote haya mambo wakati ninyi wenyewe sio wafuatiliaji na hamuoni umuhimu wa kujua nini ni nini...Kama wazazi wa kipato vha kati mtoto anaachiwa Smartphone haina Firewall anaingia popote pae anapoweza. Anafunguliwa Acc Netflix huko ndio kuna uchafu wote wa jinisa moja umejaa.
Kama unampenda mwanao usimuache atumie Streaming Channel kuangalia Cartoon au muvi kama vile Netflix, Peacock,Hulu,HBO, AMC nk nk
Ni hayo tu wakuu poleni kuwachosha✌️✌️
Muvi hii haifai kuangalia mwanao mwenye umri chini ya miaka 18. Take care kama anapenda superhero movie ataitafuta aione soon inakua released kwenye Streaming Channel na torrents