Wazanzibari kuigomea sensa ni maamuzi yetu na sio Tanganyika ituingilie

samahani kabla huyo hajakujibu, hebu nisaidie na mimi hapa kidogo tu: binafsi natatizwa na hiki kipengele cha nyumba za ibada. hivi kinahusika vipi na mambo ya maendeleo??? kama dini haihusiki na maswala ya maendeleo, hiki kipengele cha nyumba za ibada sio element ya udini kweli??? halafu ni vizuri tuishauri serikali yetu kama haitahesabu watu kwa imani zao mara hii, basi tusije tukasikia tena taasisi yoyote inatoa takwimu kwa ulingano wa imani za kidini za watu kama tulivyoona hivikaribuni tbc, idara ya utalii na ofisi ya waziri mkuuu. jiulize walizitoa wapi wakati hii nchi haina utaratibu huo????
ingawa mnawashangaa waislamu kwenye hili, lakini kiukweli kuna haja ya serilkali na nyie mnaojifanya wajuaji wa kujenga hoja mkafafanua hizo takwimu zilipatikanaje??? msijifanye nyie tu ndo mnaojua kufikiri kuliko kina sheikh Ponda. wao pia wana logic kwenye hili.

Wamunzengo; Inaitwa SENSA YA WATU NA MAKAZI!

Watu wote na makazi ya (read buildings) eg. Nyumba za watu, nyumba za kulala wageni, hotels, makanisa, misikiti, shule, hospitali, zahanati, vyuo, madrassa, maduka, etc etc etc VITAHESABIWA.

Ninajua akina Ponda wana pick Makanisa na Misikiti tu ili kuendelea KUWAZUGA WAISLAMU.
 
Califgoban,

Nimesoma ulichokiandika. Nimekuelewa kama ifuatavyo; 1
1. Ni mtu wa kutukuza UTAIFA zaidi kuliko UISLAMU. Unaona UZANZIBARI ni bora kwako kuliko UISLAMU wako
2. Unawaita waislamu wa bara kuwa ni WANAFIKI, unauhakika gani na unachokisema, mimi sikubaliane na wewe hata kidogo kuwa waislamu wa bara ni wanafiki wapo ambao wanaimani nzuri hata kuliko wewe mropokaji.
3.Nadhani huishi hapa nchini, na kama upo inaonekana hujui kinachoendelea katika sensa. Kwa taarifa yako Waislamu kupitia UAMSHO wameshatangaza kutoshiriki sensa kwa kuwaunga mkono waislamu wenzao wa bara. Sheikh faridi anaushirikiano mzuri tu na waislamu kutoka bara ( sio wa BAKWATA). Amekuwa akishiriki mikutano ya waislamu wa bara (mfano mkutano wa uzinduzi wa kupinga mfumo kristo uliofanyika diamond jubilee).
4. Si mchambuzi mzuri wa mambo ya waislamu bali mchambuzi mzuri wa UTAIFA. Wewe hujui kuwa hata zanzibar waislamu wamegawanyika, kuna wa serikali (kina suraga) na UAMSHO. Hata hayo bara yapo kuna waislamu wa serikali (BAKWATA) na BARAZA KUU ( KIna Kundecha,ponda, kilemile nk). Je na waislamu wa Zanzibar wote tuwaite WANAFIKI kwa kuwa wamegawanyika? hawana umoja?

Namalizia uwe makini na tabia yako ya kujali UTAIFA zaidi kuliko DINI yako.

Umenena vyema sana ndugu yangu.
Mto mada hajui anachofanya.
 
Kwa haraka haraka inaonesha wazi kwamba haufatilii yanayojiiri mkuu nitakujibu vipengele muhimu tuu ambavyo umevigusia

1.Kutofahamiana kwa Bakwata na Viongozi wa kiislam, lazima ufahamu kwamba Bakwata ni ya Serikali inatumiwa na viongozi wa serikali kufanikisha malengo yao mfano Viongozi wa kiislamu walikaa shura(kikao) kujadili haya mambo na Bakwata ikiwemo ndani na kukubaliana kwamba hawatoshiriki sensa, baada ya siku chache Bakwata ikatoa tamko kwa Waislam washiriki kinamna gani na kama muislamu unajua swala likishatolewa majibu katika kikao cha waislamu ukenda kinyume unajua unakua nani

2. Waislamu wa T'bara wanafiq, cha kwa hauwezi muita muislamu mnafiq hadi pawe na vigezo na pia huwezi kuwakusanya waislamu wote chini ya mwenvuli mmoja na kuwaita wanafiq kwasababu tuu eti wametofautiana si heshima mkuu kwa viongozi wako wa kiislam.

3. Kulaani vitendo vya machafuko hii hata Muamsho wenyewe walilaani kwasababu watu waliyofanya yale si katika wale waislamiu ambao walikua pale na hapa kuna mkono wa ziada nyuma yake na ndio maana viongozi wa kiislamu wakalaani vitendo vile.

4. Kungana mkono wao kwanza wao, hawawezi kuungana mkono kwanza wakati kundi moja ni la waislamu na moja ni lakiserekali kuna tofauti kubwa hapo na kuhusu wao kutusupport sis mbona walishaliongelea hilo hadi maali basaleh kaliongelea hilo ndio maana nikakwambia haufatii kinachojiri mkuu.

Tutakua nao pamoja bega kwa bega hatutoshiriki sensa hadi kipengele cha dini kiwekwe halafu kwa kuongezea kipengele hakipo lakini takwimu zipo inaonesha waislamu ni wangapi na wakristo ni wangapi ndio maana mashekhe wetu wakasema kuna mchezo mchafu hapa unachezeka FIKIRI KABLA HUJAFUNGUA MDOMO KUNYAMAZA NI DHAHABU NA KUONGEA NI FEDHA.

Nambokola.
 
Du! Huyu ni bonge la kilaza sijapata ona, wenzake tunapigania maendeleo yeye bado yupo kwenye ubaguzi, tena wanabaguana wao kwa wao. Mod ondoeni huu uchaf. Mi nipo kwenye semina ya sensa na ntahesabu waislam na wakristo wa zanzibar akiwemo huyu kilaza
 
Sensa ni zoezi la kuhesabu pamoja na mali zao na mambo mengine ya msingi ili kuweza kuipa nafasi Serikali ipange mipango na mikakati mbambali ya maendeleo kwa jamii kama vile ya uchumi, afya, kielimu nk. Ni hatua moja muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa lolote lile duniani.

Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.

Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!

Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.

Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.

Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-

  1. Kama wanataka waungwe mkono na Wazanzibar basi kwanza wangeungana mkono wao kwao kwanza
  2. Hakuna dhamira ya DHATI walio-ionesha Waislamu T'Bara katika kugomea sensa 2012.
  3. Hata Waislamu wa Zanzibar wakiunga mkono, basi lengo halitofikiwa kwa vile waislam wengi T'Bara hawaonyeshi kuigemea Sensa. Jee waislamu karibu milioni 1 na nusu Zanzibar watafua dafu mbele ya Watu karibu milioni 50 na wengi wao wanashiriki Sensa?
  4. Bado hatujawahi kuona juhudi za Waislam T'Bara kuisadia Zanzibar kisiasa ijikwamue na makucha ya Mkoloni mweusi kwani hivi juzi tu Waislamu wa BAra walishirikiana na Kanisa kulaani vikundi vya kiislamkutokana na machafuko yalitokea hapa wakati msingi wa kutokea kwake sio Waislam wahusika wanajulikana?
  5. Sensa ya Zanzibar ni kwa ajili Wazanzibar na sio T'Bara na idadi ya watu wake itakua ni kwa ajili ya Zanzibarkila upande una watu wake wa kuhesabiwa, msichanganye vitu ambavyo ni "UNPAIRED"

ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!



Huyu muandishi kwa makusudi analengo la makusudi la kuhujumu na kuwagombanisha na kuwaganisha waislam wa bara na visiwani, kwa iyo naomba ndugu zangu waslam muwe makini sana
 
kwa nini waislamu nchi hii wanaonewa na kubaguliwa? au nchi hii waislam ni wageni na wakristo ndo wenyeji?
Hujaeleweka, wanabaguliwaje?
Raisi jk muislamu
Makamu wake Ghalib bilali muislamu
Waziri wa ulinzi Nahodha muislamu
Mkuu wa jeshi la polisi said mwema muislamu n.k
ebu tufafanulie huko kubaguliwa ni kupi.
 
samahani kabla huyo hajakujibu, hebu nisaidie na mimi hapa kidogo tu: binafsi natatizwa na hiki kipengele cha nyumba za ibada. hivi kinahusika vipi na mambo ya maendeleo??? kama dini haihusiki na maswala ya maendeleo, hiki kipengele cha nyumba za ibada sio element ya udini kweli??? halafu ni vizuri tuishauri serikali yetu kama haitahesabu watu kwa imani zao mara hii, basi tusije tukasikia tena taasisi yoyote inatoa takwimu kwa ulingano wa imani za kidini za watu kama tulivyoona hivikaribuni tbc, idara ya utalii na ofisi ya waziri mkuuu. jiulize walizitoa wapi wakati hii nchi haina utaratibu huo????
ingawa mnawashangaa waislamu kwenye hili, lakini kiukweli kuna haja ya serilkali na nyie mnaojifanya wajuaji wa kujenga hoja mkafafanua hizo takwimu zilipatikanaje??? msijifanye nyie tu ndo mnaojua kufikiri kuliko kina sheikh Ponda. wao pia wana logic kwenye hili.

Mkuu nitakujibuje bila kujua kama wanataka kupata idadi ya nyumba za ibada tu kwenye eneo husika au wanataka kujua kabisa idadi ya nyumba za ibada na dhehebu lake kwenye eneo husika. Kama watakuwa wanaangalia na dhehebu hata mimi nitaona kuna mushkeri lakini kama watahesabu nyumba za ibada kama makazi mengine sioni kosa lolote...
 
Ndugu sweke34
Nyumba za ibada sio Msitiki na Kanisa tu zipo na yengine nying ila kwa hapa kwetu ni hizo ndio zinachukua hisia wa Waumini wengi mno na ndio zenye athari kubwa Tanzania.
Na la pili ni kuwa Katika Dodosa wanataka kujua idadi ya nyumba za ibada zote mfano Mbeya ziko ngapi wakati huo huo wakizihifahmu majina na wahusika wake kwa hiyo itakua ni jambo Rahisi kuleta majibu ya Dhahania baada ya sensa kwisha na mielekeo hiyo imeshajitokeza sana Taasisi mbali mbali kuwapigia Debe Wakiristo kuwa ndio wengi jambaolo halionekani kuwa na ukweli wowote ule.
Kwa sisi tunaijua science ya Computer Tunasema kwa hili Tumeli -DECRYPT OR DECIPHER.
 
Sensa ni zoezi la kuhesabu pamoja na mali zao na mambo mengine ya msingi ili kuweza kuipa nafasi Serikali ipange mipango na mikakati mbambali ya maendeleo kwa jamii kama vile ya uchumi, afya, kielimu nk. Ni hatua moja muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa lolote lile duniani.

Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.

Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!

Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.

Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.

Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-
  1. Kama wanataka waungwe mkono na Wazanzibar basi kwanza wangeungana mkono wao kwao kwanza
  2. Hakuna dhamira ya DHATI walio-ionesha Waislamu T'Bara katika kugomea sensa 2012.
  3. Hata Waislamu wa Zanzibar wakiunga mkono, basi lengo halitofikiwa kwa vile waislam wengi T'Bara hawaonyeshi kuigemea Sensa. Jee waislamu karibu milioni 1 na nusu Zanzibar watafua dafu mbele ya Watu karibu milioni 50 na wengi wao wanashiriki Sensa?
  4. Bado hatujawahi kuona juhudi za Waislam T'Bara kuisadia Zanzibar kisiasa ijikwamue na makucha ya Mkoloni mweusi kwani hivi juzi tu Waislamu wa BAra walishirikiana na Kanisa kulaani vikundi vya kiislamkutokana na machafuko yalitokea hapa wakati msingi wa kutokea kwake sio Waislam wahusika wanajulikana?
  5. Sensa ya Zanzibar ni kwa ajili Wazanzibar na sio T'Bara na idadi ya watu wake itakua ni kwa ajili ya Zanzibarkila upande una watu wake wa kuhesabiwa, msichanganye vitu ambavyo ni "UNPAIRED"

ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!


PUMBA zako, hufai hata kuitwa Muislam kwa utumbo wako huu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wacha upotevu wako na dharau kwa waislam Wenzetu. Kwa Wazanzibari hakuna tatizo kuigomea sensa kwani na wao wanasababu zao za msingi pamoja na kuwaunga mkono wenzao huku T.Bara, pia sa7bu zao ni:

i. Jamhuri ya Watu waZanzibar kwanza sensa baadae.
ii. Sensa isiwe jambo lamuungano etc.

"Al-Muslim akhuy Muslim" by Prophet Muhammad (S.A.W)
 
Mnaotaka kuleta hoja basi ni HOJA na sio kumleta mtu mmoja mmoja, kikundi au taasisi fulani kwani huo mchango wa hoja.

Nawatahadharisha wale wote mnao onyesha NIA ya kutaka kuipindisha HOJA hii TAKATIFU.!!

Mungu awaongoze mchangie kwa haki.
Ama kweli ukistaajabu ya Mussa ........ Hiyo hoja yako imepata huo utakatifu lini? Yaani umepagawa mpaka unajivika sifa ya utukufu, khaaa!!! Ati wewe usie mkamilifu unajitwika utakatifu kwamba hoja yako ni takatifu? Ama kweli mwisho wa dunia u karibu.
 
Ndugu sweke34
Nyumba za ibada sio Msitiki na Kanisa tu zipo na yengine nying ila kwa hapa kwetu ni hizo ndio zinachukua hisia wa Waumini wengi mno na ndio zenye athari kubwa Tanzania.
Na la pili ni kuwa Katika Dodosa wanataka kujua idadi ya nyumba za ibada zote mfano Mbeya ziko ngapi wakati huo huo wakizihifahmu majina na wahusika wake kwa hiyo itakua ni jambo Rahisi kuleta majibu ya Dhahania baada ya sensa kwisha na mielekeo hiyo imeshajitokeza sana Taasisi mbali mbali kuwapigia Debe Wakiristo kuwa ndio wengi jambaolo halionekani kuwa na ukweli wowote ule.
Kwa sisi tunaijua science ya Computer Tunasema kwa hili Tumeli -DECRYPT OR DECIPHER.
Makarani wa sensa wapo waislam, wakristu,wapagani etc. Kila sehemu hapa tanzania imegawanywa visehemu vidogovidogo ili viweze kushughulikiwa na idadi fulani ya makarani wa sensa. Kama hawajaweka kipengele kinachoonyesha hii nyumba ya ibada ni ya dhehebu lipi, unafikiri ni kitu gani kitakachofanya zoezi la kutambua kuna misikiti/makanisa mangapi tanzania lile rahisi?
 
Lutayega jibu HOJA kwa HOJA kama huwezi kufikiri na kutoa kitu kizima basi KIMYA kwako ni bora zaid kinchomata hapa ni hoja na si matusi okay.
 
Mkataba >>> Onesha hoja na sio hizo jazba na kisaikologia Jazba kwa mtu pale kitu cha kiukweli kinapohusika zaid kwake
na la pili kifalsafa unapomfikiria mwezako kitu kibaya basi huwa ni tabia au ni mawazo yako hayo.
 
Ninapowaita Wanafiki maana inaeleweka wazi maana siku zote hakuna MBAYA kwa yoyote wala mzuri kwa yote.
na huu UNAFIKI unaonekana wazi kama BAKWATA ni chombo cha kuiwakilisha serikali mbona na sio MASLAHI ya Waislamu mbona sijawahi kuona JUHUDI husika mkizichukua pamoja ukweli wa wingi wa Tanzania?
Au kuishia kusema kweny VIBUYU ndio mnaona injuzu.

Juzi tu France, Waislamu walifanya Demostration kupinga ISLAMOPHOBIA nchini na barani Ulaya kwa jumla pamoja uchache na wingi maadui hawakuogopa, Jee waislam baada ya kuuliwa na kuvuliwa nguo ni Waislam wa Tanzania wamefanya ili kunusuru haya yasitokee tena ? Huu sio UNAFIKI unaozungumziwa hapa.

Large number of Muslim is Nothing if They take no action accordingly to eliminate infidelity.


Nambokola na wengine hilo ndilo jambo au huna HABARI ya Maandamo ya kuiunga mkono Shinyanga hivi majuzi?
 
Sijaona michango ya kina Ritz, Zomba, Mkigoma, Topical, Rejao et al. Msimamo wenu ni upi kwa hoja ya kususia kutoka upande wa pili wa Muungano?
 
Hivi wazanzibar wana matatizo gani ? Ndio maana watu usema wapemba ni wakorofi sana na wana akili kidogo huku wataka na kule wataka. Ukimuuliza mpemba yeyote aliyeko bara kwenye kiduka chake kuhusu muungano utasikia haa yakheee bara wanatunyonya tunataka kupumua yakhe . Sasa mwambie basi rudi kwenu kwa kuonyesha kuwa unapinga kunyonywa atakwambia vipi tena yakhe kitumbua changu mbona watia mchanga.
Sasa hawa watu tuwaelewe namna gani . Njia rahisi ya wazanzibar kujitenga ni kuingizana kwenye mashua na kwenda zenu msije bara na sisi tusije huko mtakuwa muungano mmevunja. Lakini huku mwataka na kule mwataka vipi yakhe
safi sana,mtu analalamika bt kujitoa hataki cjui ndo nin.
 
Mkuu me naona bado unazunguka unasema hatua gani tumechukua ikiwa tunajua Bakwata ni waserikali sasa kwa ww unataka tuchukue hatua gani tuandamane ama na sisi tuingie vita na Bakwata mkuu najua unafahamu vizuri tuu uislam unaheshimu mawazo ya mwengine sisi kwa sisi tunaambiana kwanza na ndo ikaja aya inasema kumbusha hakika ukushaji unamanufaa kwa waumini.Lazima ufahamu waislamu wote ni ndugu hata kama atakua mtanganyika ambaye hakubaliani na mawazo yako bado anabakia kua ndugu yako kuliko wa damu.

Halafu unaongelea ISLAMOPHOBIA hii ni topic ndefu ambayo inaweza chukua siku nzima lkini nitaipita kwa haraka Islamophobia ni ubaguzi ambao unafanywa na wasio waislam kama kuwanyanyasa kwa kuafunga bila ya kesi kwenda mahakamani kuwatesa kuwazuiya kuvaa vazi fulani kubaguliwa makazini ama kukoseshwa kazi kabisa kutokana na jina ama alama za uislamu mtu alonazo kama kuvaa kofia,kanzu,nguo fupi na ufugaji wa ndevu na mengine mengi sasa wale wanahaki ya kuandamana jee tutizame hili linafanana? Mashekhe wetu washaliongelea hilo.

Lakini usishangae kuona hayo mbona yashasemwa na Allah kuhusu Islamophobia sababu kubwa ni "[Taubah 9:32]
They try to extinguish the light of Allah with their mouths, but Allah will not agree except that He will perfect His light, even if the disbelievers get annoyed"

Nambokola
 
Back
Top Bottom