Wazanzibari kuigomea sensa ni maamuzi yetu na sio Tanganyika ituingilie

CalifNice

Member
Mar 28, 2012
78
28
Sensa ni zoezi la kuhesabu pamoja na mali zao na mambo mengine ya msingi ili kuweza kuipa nafasi Serikali ipange mipango na mikakati mbambali ya maendeleo kwa jamii kama vile ya uchumi, afya, kielimu nk. Ni hatua moja muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa lolote lile duniani.

Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.

Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!

Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.

Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.

Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-

  1. Kama wanataka waungwe mkono na Wazanzibar basi kwanza wangeungana mkono wao kwao kwanza
  2. Hakuna dhamira ya DHATI walio-ionesha Waislamu T'Bara katika kugomea sensa 2012.
  3. Hata Waislamu wa Zanzibar wakiunga mkono, basi lengo halitofikiwa kwa vile waislam wengi T'Bara hawaonyeshi kuigemea Sensa. Jee waislamu karibu milioni 1 na nusu Zanzibar watafua dafu mbele ya Watu karibu milioni 50 na wengi wao wanashiriki Sensa?
  4. Bado hatujawahi kuona juhudi za Waislam T'Bara kuisadia Zanzibar kisiasa ijikwamue na makucha ya Mkoloni mweusi kwani hivi juzi tu Waislamu wa BAra walishirikiana na Kanisa kulaani vikundi vya kiislamkutokana na machafuko yalitokea hapa wakati msingi wa kutokea kwake sio Waislam wahusika wanajulikana?
  5. Sensa ya Zanzibar ni kwa ajili Wazanzibar na sio T'Bara na idadi ya watu wake itakua ni kwa ajili ya Zanzibarkila upande una watu wake wa kuhesabiwa, msichanganye vitu ambavyo ni "UNPAIRED"

ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!
 
Mmeanza

Waislamu wa Zanzibar v Waislamu wa Tanzania Bara: Mkimaliza hilo, litafuata

Waislamu wa Unguja V Waislamu wa Pemba, halafu baadaye

Waislamu wa Zanzibar v Waislamu wa Oman and Finaly

Sunni v Shia, Dhambi ya ubaguzi ni mbaya!
Uamsho......VS Bakwata....
Kamati ya Misikiti VS ....
 
Usitufundishe maana ya SENSA twaijua na ndio maana tutaheshimu ili kuona mazuro yake. Wewe usiejua goma wew na familia yako ila hata yule mwanao atakutoroka akahesabiwe kwa manufaa yake kwani wewe unakaribia kuiacha Zanzibar (Kufa) hivyo unawahadaa wanaokuja kukulia hapo wewe ushakufa kitambo.
 
Mnaotaka kuleta hoja basi ni HOJA na sio kumleta mtu mmoja mmoja, kikundi au taasisi fulani kwani huo mchango wa hoja.

Nawatahadharisha wale wote mnao onyesha NIA ya kutaka kuipindisha HOJA hii TAKATIFU.!!

Mungu awaongoze mchangie kwa haki.
 
Uchochezi usio na kichwa wala miguu mi sioni sababu ya kugomea sensa.sensa ni kwa matumizi ya serikali kupanga mipango kwa wananchi wake bila kubagua dini yeyote
 
Mada imepotea njia - kwa vile ni ya uchonganishi ipeleke Radio Iman wataichangamkia. Na kama ni lazima JF basi ipeleke Jukwaa la Dini.

Mada hii ni Sumu, ni Aibu kwa Uislamu, dini ya Amani, Mapenzi na Umoja! Haya ndiyo mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W)?
 
Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!

Mtoa mada,
Nimeuliza sana hili swali lakini sijawahi kusaidiwa.
Hivi nyumba za ibada ni Kanisa na Msikiti tu? Kwenye dodoso la sensa wanataka kujua tu nyumba za ibada kwenye eneo husika au wanataka kujua kabisa kuna kanisa/msikiti etc mingapi katika eneo husika? Tafadhali nisaidie...
 
Dhambi hiyooooooooo....... dhambi ya kubaguana inaendelea kufanya kazi yake. Mnafikiri Mzee Nyerere alikuwa mjinga??!! alishaona tangu mapema wenzetu wa dini fulani wana kalaana flan hivi ka kubaguana baguana hata wao wenyewe kwa wenyewe.
Acheni hizo bana tufanye kazi na kujadili namna ya kukwamua taifa letu kwenye huu mdororo wa uchumi na umasikini uluokithiri kwa watanzania
 
Mtoa mada,
Nimeuliza sana hili swali lakini sijawahi kusaidiwa.
Hivi nyumba za ibada ni Kanisa na Msikiti tu? Kwenye dodoso la sensa wanataka kujua tu nyumba za ibada kwenye eneo husika au wanataka kujua kabisa kuna kanisa/msikiti etc mingapi katika eneo husika? Tafadhali nisaidie...
 
waacheni wakimaliza hili wataanza kubaguana uzanzibari wao kwa rangi.....
 
mkuu, hapa utauliza sana hili swali...hutopata jibu, labda anam-consult mwanasheria mkuu, Werema amasaidie kujibu.
Mtoa mada,
Nimeuliza sana hili swali lakini sijawahi kusaidiwa.
Hivi nyumba za ibada ni Kanisa na Msikiti tu? Kwenye dodoso la sensa wanataka kujua tu nyumba za ibada kwenye eneo husika au wanataka kujua kabisa kuna kanisa/msikiti etc mingapi katika eneo husika? Tafadhali nisaidie...
 
Mnaotaka kuleta hoja basi ni HOJA na sio kumleta mtu mmoja mmoja, kikundi au taasisi fulani kwani huo mchango wa hoja.

Nawatahadharisha wale wote mnao onyesha NIA ya kutaka kuipindisha HOJA hii TAKATIFU.!!

Mungu awaongoze mchangie kwa haki.

Hakuna kitu kama HOJA TAKATIFU. Wamombasa nao wanataka kujitenga na Kenya na wanavijimambo vya ajabu ajabu na kitoto kama hivi vya zanziba. Nachelea kusema hawa watu wavisiwani wanatatizo la kimsingi ambalo linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi. Au wameahidiwa kitu na waarabu.
 
Hawa waz'bar c waondoke tu kwenye muungano,hili la kila cku kulalamika ltaisha ln nyie swalaa? Eti kila wizara wanaongoza,waachen waongoze,taifa likiongozwa na nyie ttakoma
 
Hivi wazanzibar wana matatizo gani ? Ndio maana watu usema wapemba ni wakorofi sana na wana akili kidogo huku wataka na kule wataka. Ukimuuliza mpemba yeyote aliyeko bara kwenye kiduka chake kuhusu muungano utasikia haa yakheee bara wanatunyonya tunataka kupumua yakhe . Sasa mwambie basi rudi kwenu kwa kuonyesha kuwa unapinga kunyonywa atakwambia vipi tena yakhe kitumbua changu mbona watia mchanga.
Sasa hawa watu tuwaelewe namna gani . Njia rahisi ya wazanzibar kujitenga ni kuingizana kwenye mashua na kwenda zenu msije bara na sisi tusije huko mtakuwa muungano mmevunja. Lakini huku mwataka na kule mwataka vipi yakhe
 
Sensa ni zoezi la kuhesabu pamoja na mali zao na mambo mengine ya msingi ili kuweza kuipa nafasi Serikali ipange mipango na mikakati mbambali ya maendeleo kwa jamii kama vile ya uchumi, afya, kielimu nk. Ni hatua moja muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa lolote lile duniani.

Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.

Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!

Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.

Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.

Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-

  1. Kama wanataka waungwe mkono na Wazanzibar basi kwanza wangeungana mkono wao kwao kwanza
  2. Hakuna dhamira ya DHATI walio-ionesha Waislamu T'Bara katika kugomea sensa 2012.
  3. Hata Waislamu wa Zanzibar wakiunga mkono, basi lengo halitofikiwa kwa vile waislam wengi T'Bara hawaonyeshi kuigemea Sensa. Jee waislamu karibu milioni 1 na nusu Zanzibar watafua dafu mbele ya Watu karibu milioni 50 na wengi wao wanashiriki Sensa?
  4. Bado hatujawahi kuona juhudi za Waislam T'Bara kuisadia Zanzibar kisiasa ijikwamue na makucha ya Mkoloni mweusi kwani hivi juzi tu Waislamu wa BAra walishirikiana na Kanisa kulaani vikundi vya kiislamkutokana na machafuko yalitokea hapa wakati msingi wa kutokea kwake sio Waislam wahusika wanajulikana?
  5. Sensa ya Zanzibar ni kwa ajili Wazanzibar na sio T'Bara na idadi ya watu wake itakua ni kwa ajili ya Zanzibarkila upande una watu wake wa kuhesabiwa, msichanganye vitu ambavyo ni "UNPAIRED"

ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!

Califgoban,

Nimesoma ulichokiandika. Nimekuelewa kama ifuatavyo; 1
1. Ni mtu wa kutukuza UTAIFA zaidi kuliko UISLAMU. Unaona UZANZIBARI ni bora kwako kuliko UISLAMU wako
2. Unawaita waislamu wa bara kuwa ni WANAFIKI, unauhakika gani na unachokisema, mimi sikubaliane na wewe hata kidogo kuwa waislamu wa bara ni wanafiki wapo ambao wanaimani nzuri hata kuliko wewe mropokaji.
3.Nadhani huishi hapa nchini, na kama upo inaonekana hujui kinachoendelea katika sensa. Kwa taarifa yako Waislamu kupitia UAMSHO wameshatangaza kutoshiriki sensa kwa kuwaunga mkono waislamu wenzao wa bara. Sheikh faridi anaushirikiano mzuri tu na waislamu kutoka bara ( sio wa BAKWATA). Amekuwa akishiriki mikutano ya waislamu wa bara (mfano mkutano wa uzinduzi wa kupinga mfumo kristo uliofanyika diamond jubilee).
4. Si mchambuzi mzuri wa mambo ya waislamu bali mchambuzi mzuri wa UTAIFA. Wewe hujui kuwa hata zanzibar waislamu wamegawanyika, kuna wa serikali (kina suraga) na UAMSHO. Hata hayo bara yapo kuna waislamu wa serikali (BAKWATA) na BARAZA KUU ( KIna Kundecha,ponda, kilemile nk). Je na waislamu wa Zanzibar wote tuwaite WANAFIKI kwa kuwa wamegawanyika? hawana umoja?

Namalizia uwe makini na tabia yako ya kujali UTAIFA zaidi kuliko DINI yako.
 
Mtoa mada,
Nimeuliza sana hili swali lakini sijawahi kusaidiwa.
Hivi nyumba za ibada ni Kanisa na Msikiti tu? Kwenye dodoso la sensa wanataka kujua tu nyumba za ibada kwenye eneo husika au wanataka kujua kabisa kuna kanisa/msikiti etc mingapi katika eneo husika? Tafadhali nisaidie...

samahani kabla huyo hajakujibu, hebu nisaidie na mimi hapa kidogo tu: binafsi natatizwa na hiki kipengele cha nyumba za ibada. hivi kinahusika vipi na mambo ya maendeleo??? kama dini haihusiki na maswala ya maendeleo, hiki kipengele cha nyumba za ibada sio element ya udini kweli??? halafu ni vizuri tuishauri serikali yetu kama haitahesabu watu kwa imani zao mara hii, basi tusije tukasikia tena taasisi yoyote inatoa takwimu kwa ulingano wa imani za kidini za watu kama tulivyoona hivikaribuni tbc, idara ya utalii na ofisi ya waziri mkuuu. jiulize walizitoa wapi wakati hii nchi haina utaratibu huo????
ingawa mnawashangaa waislamu kwenye hili, lakini kiukweli kuna haja ya serilkali na nyie mnaojifanya wajuaji wa kujenga hoja mkafafanua hizo takwimu zilipatikanaje??? msijifanye nyie tu ndo mnaojua kufikiri kuliko kina sheikh Ponda. wao pia wana logic kwenye hili.
 
samahani kabla huyo hajakujibu, hebu nisaidie na mimi hapa kidogo tu: binafsi natatizwa na hiki kipengele cha nyumba za ibada. hivi kinahusika vipi na mambo ya maendeleo??? kama dini haihusiki na maswala ya maendeleo, hiki kipengele cha nyumba za ibada sio element ya udini kweli??? halafu ni vizuri tuishauri serikali yetu kama haitahesabu watu kwa imani zao mara hii, basi tusije tukasikia tena taasisi yoyote inatoa takwimu kwa ulingano wa imani za kidini za watu kama tulivyoona hivikaribuni tbc, idara ya utalii na ofisi ya waziri mkuuu. jiulize walizitoa wapi wakati hii nchi haina utaratibu huo????
ingawa mnawashangaa waislamu kwenye hili, lakini kiukweli kuna haja ya serilkali na nyie mnaojifanya wajuaji wa kujenga hoja mkafafanua hizo takwimu zilipatikanaje??? msijifanye nyie tu ndo mnaojua kufikiri kuliko kina sheikh Ponda. wao pia wana logic kwenye hili.
Kila taasisi haizuiliwi kukusanya takwimu kwa maslahi yake. Waislam wanaweza vile vile kuamua kufanya sensa ya waislamu na Dini nyingine haizuiliwi na yeyote!!
 
Back
Top Bottom