CalifNice
Member
- Mar 28, 2012
- 78
- 28
Sensa ni zoezi la kuhesabu pamoja na mali zao na mambo mengine ya msingi ili kuweza kuipa nafasi Serikali ipange mipango na mikakati mbambali ya maendeleo kwa jamii kama vile ya uchumi, afya, kielimu nk. Ni hatua moja muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa lolote lile duniani.
Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.
Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!
Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.
Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.
Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-
ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!
Narudi tena kwa mara nyengine ili basi niweze kwa uchache kupitia jukwaa hili la Jamii Forum kuwakumbusha Wazanzibar wenzangu juu ya suala la sensa ambalo kwa namna moja au nyengine limeonekana kuwa na ajenda nyingi za siri zilizofichwa ndani yake kwa lengo zima la kutaka kuipa tena nafasi jamii fulani ya Imani fulani nchini hapa iweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi maana katika hali isio ya kawaida inaonekana mwelekeo wa Imani hio sasa iko MASHAKANI NA KITANZI KINAZIDI KUIKAZA SHINGO YA IMANI YAO KIMASLAHI.
Kwa upande mwengine, Waislamu, nao waomeonekana wazi kutumia zoezi hili Sensa kuitunishia Serikali misuli kwani bila ya utafiti wa kina utaona jinsi ilivyojiegemeza kwenye upande dini ambayo ndio inayo-iongoza UISLAM katika kila Wizara na Idara Seerikalini, kutokana hali hii na ikiwa ni katika kuwaridhisa zaid UPANDE HUO PENDWA, Serikali imeamua kukiondosha kipengele cha kuwahesabu watu kwa mujibu wa DINI zao ili kisiwe ni sehemu ya Zoezi la Sensa lakini huo huo kiwekwe kipengele cha kuhesabu NYUMBA za ibada kwani kwa kupitia nyumba za Ibada wana UHAKIKA wanazo nyingi kuliko MISIKITI kwani jamii yote ya Waislamu haichagui msikiti wa kufanyia Ibada zao eti kwa sababu ya Madhehebu yao, tofauti na upande wa pili ambao wao lazima ufanye ibada kulingana na imani ya kanisa lako kama ni kakobe au kanani basi iwe humo. Hapo ajenda yao baada ya Sensa kwisha ni kusema kwa vile nyumba zao ni nyingi kuliko Waislam basi ni wazi na idadi yao ni kubwa kuliko Waislam. Kwa hili Waislam Amkeni..! Msilale..!!
Ndugu zangu Wazanzibar sisi kwa asilimia 99.9 ni Waislamu ni jambo la wazi wala halihitaji utafiti kwani Mizengo alikiri hivo Bungeni majuzi tu kama mnakumbuka alipomjibu yule "MHARIBIFU, MCHAFU WA MAADILI". Kwa sababu hii sisi hatuna haja ya kuwa woga na wasiwasi na hizi MBINU CHAFU za wenzetu, ni laziwe tuwe macho MARA MBILI HATA ZAIDI tusije tukaingizwa katika mtego wa Waislamu wanafiki wa Tanzania Bara, hawa hawana umoja wa mshikamano katika kudai haki zao huku na wao ni rahisi sana KUGAWANYWA na kupigwa MAPANDE ndani ya misikiti, katika Taasisi Zao Kiislam na kweningineko. Hebu Wazanzibar angalieni hivi sasa kuna makundi mangapi tayari yameshajitokeza juu ya Suala hili la Sensa ndani ya Waislamu wa T,Bara? Kuna kundi la Bakwata,
kundi la Ally Baseleh nk hali hii yote inaonyesha UDHAIFU wa Waislamu T,Bara pale wanapodai haki zao kwani bila ya kuficha wa hawa wanaweka mbele MASLAHI yao kuliko Uislamu. Lengo la kusema hivi ni kutaka kuwaambia kinagaubaga eti Waislamu wa T,Bara wanataka wapate kuugwa mkono na Waislamu wa Zanzibar katika suala hili la Sensa ili tuigomee kwa kuwasaidia wao mpaka pale serikali itakapo rejesha Kipengele cha Dini kwenye Sensa 2012. Hizi ni njama zisizo chembe ya UKWELI ndani yake na Sisi Wazanzibar tusijiuze kwa bei rahisi kwa UNAFIKI wao huu.Sisi tuna madai yetu maalum na ya msingi kweli kweli kipindi hiki na tuwaepuke waislamu wa aina hii kwani NGUO YAO KUBWA NI UNAFIKI. hawa ni watu hatari sana katika jamii ya kiislam na hata Uislam hushindwa kusonga mbele kwa kuweka mbele Maslahi yao.
Sisi wazanzibar tusiiamuliwe mambo yetu na WATU WAISLAMU HAWA HATARISHI, sisi tuna hiari yetu kama tunahisi tuna sababu zetu za msingi basi tutaigomea SENSA na kama hatuoni sababu ya msingi basi tutashiki kama kwani haya ni maamuzi yetu kama Waislamu wa Wazanzibar.
Kuna sababu za msingi za Wazanzibar kutowaunga mkono Waislamu wa T,Bara, na hizi zifautazo ni baadhi hizo kwa UCHACHE tu:-
- Kama wanataka waungwe mkono na Wazanzibar basi kwanza wangeungana mkono wao kwao kwanza
- Hakuna dhamira ya DHATI walio-ionesha Waislamu T'Bara katika kugomea sensa 2012.
- Hata Waislamu wa Zanzibar wakiunga mkono, basi lengo halitofikiwa kwa vile waislam wengi T'Bara hawaonyeshi kuigemea Sensa. Jee waislamu karibu milioni 1 na nusu Zanzibar watafua dafu mbele ya Watu karibu milioni 50 na wengi wao wanashiriki Sensa?
- Bado hatujawahi kuona juhudi za Waislam T'Bara kuisadia Zanzibar kisiasa ijikwamue na makucha ya Mkoloni mweusi kwani hivi juzi tu Waislamu wa BAra walishirikiana na Kanisa kulaani vikundi vya kiislamkutokana na machafuko yalitokea hapa wakati msingi wa kutokea kwake sio Waislam wahusika wanajulikana?
- Sensa ya Zanzibar ni kwa ajili Wazanzibar na sio T'Bara na idadi ya watu wake itakua ni kwa ajili ya Zanzibarkila upande una watu wake wa kuhesabiwa, msichanganye vitu ambavyo ni "UNPAIRED"
ZANZIBAR DOWN! DOWN! WITH TANGANYIKA!!!