Wazanzibar wana haki ya kuisifu Serekali ya Umoja wa Kitaifa Suk kwa hatua zake.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Ikiwa Wazanzibar tutapata kuvuta Punzi kidogo Basi huendaBaada ya miaka miwili mbele Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar (Smz)yenye mfumo wa Serekali yaumoja wa Kitaifa (Suk)ikapiga hatuwa kubwa za kimaendeleo na kiuchumi .

Hivi sasa hakuna shakaa kuwa kipindi kifupi tu cha Mwakatokea Wazanzibar waichaguwe Serekali yao ya Umoja wa kitaifa imefanyaMambo mengi makubwa tena ya kutia matumaini mbeleni ambayo kwa kipindi chote cha miaka 47 ya utawala wa ccm umeshindwakupiga hatua kubwa hio.

Serekali ya Umoja wa Kitaifa imeweza kujenga kiwanja kikubwacha kileo ambacho bado hakija maliza kinacho jengwa na kampuni ya kichina, nachengine kitakacho anza kujengwa wakati wowote Kisiwani Pemba na kampuni ya south Africa.

Suk imeweza kujenja barabara takribani nyingi Unguja na Pemba mijini na vijijini , imeweza kujenja vituo vya afyamijini na vijijini na imeweza kutengeneza miundo mbinu mingi .

Tukiangalia hatuwa ya Serekali ya umoja wa kitaifa chini yamfumo wa ccm/cuf imeweza kupiga hatua kubwa kwa wananchi wa Zanzibar, hata kuwamaisha yamepanda kutokana na mfumuko wa bei lakini Wananchi wa Zanzibar mijinina vijijini wote wana matumaini makubwa sana usoni na Serekali yetu.

Hii yote nikuonesha mfano wa wazi kuwa ccm kwa kipindi chotecha miaka 47 imeshindwa kusimamia mahitaji ya wanyonge (wananchi) lakini hivisasa kwa upande wa Zanzibar viongozi wa kisiasawamefanikiwa kufanya kazi pamoja na kuweka maslahi ya Zanzibar na Wazanzibar kwanza halafu siasabadae.
 
Hongera CUF kwa kuwafundisha CCM uongozi wa kuwatumikia wananchi wa zanzibar
 
sijui mnaishi dunia ipi. ila wazanzibari wa pande zote mbili wanajua jinsi serikali hii, ilivyoshindwa kufanya yaliotarajiwa ukiacha kupungua kwa chuki za kisiasa
 
Ikiwa Wazanzibar tutapata kuvuta Punzi kidogo Basi huendaBaada ya miaka miwili mbele Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar (Smz)yenye mfumo wa Serekali yaumoja wa Kitaifa (Suk)ikapiga hatuwa kubwa za kimaendeleo na kiuchumi .

Hivi sasa hakuna shakaa kuwa kipindi kifupi tu cha Mwakatokea Wazanzibar waichaguwe Serekali yao ya Umoja wa kitaifa imefanyaMambo mengi makubwa tena ya kutia matumaini mbeleni ambayo kwa kipindi chote cha miaka 47 ya utawala wa ccm umeshindwakupiga hatua kubwa hio.

Serekali ya Umoja wa Kitaifa imeweza kujenga kiwanja kikubwacha kileo ambacho bado hakija maliza kinacho jengwa na kampuni ya kichina, nachengine kitakacho anza kujengwa wakati wowote Kisiwani Pemba na kampuni ya south Africa.

Suk imeweza kujenja barabara takribani nyingi Unguja na Pemba mijini na vijijini , imeweza kujenja vituo vya afyamijini na vijijini na imeweza kutengeneza miundo mbinu mingi .

Tukiangalia hatuwa ya Serekali ya umoja wa kitaifa chini yamfumo wa ccm/cuf imeweza kupiga hatua kubwa kwa wananchi wa Zanzibar, hata kuwamaisha yamepanda kutokana na mfumuko wa bei lakini Wananchi wa Zanzibar mijinina vijijini wote wana matumaini makubwa sana usoni na Serekali yetu.

Hii yote nikuonesha mfano wa wazi kuwa ccm kwa kipindi chotecha miaka 47 imeshindwa kusimamia mahitaji ya wanyonge (wananchi) lakini hivisasa kwa upande wa Zanzibar viongozi wa kisiasawamefanikiwa kufanya kazi pamoja na kuweka maslahi ya Zanzibar na Wazanzibar kwanza halafu siasabadae.
mbona umeme mgao hauishi?vituo vya afya ni vya binafsi au serikali?mbona shule za sekondari hazijengwi?ni barabara gani zimejengwa tangu 2011 mlipoingia madarakani?
 
hahhahahahha MAGAMBA NA MKEWE MNAPIGANA WENYEWE HEHEEEE!
 
Back
Top Bottom