Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas 😂😂😂
Unajivunjia heshima ndugu!!!!!!!
 
Lucas! Lucas Lucas! (nimekuita mara 3)
Achana na maisha ya "ukunguni" ndugu!
Tafuta kazi ya kipato chako halali!
hata huyu unaemsifia mchana na usiku anakudharau sana hujui tu!
Na kwa tabia zake ipo siku atakuvurumisha!
 
Hawakujua utafanya mambo makubwa yote haya, Umekamilisha Miradi hata iliyoshindikana, Umetekeleza miradi kila kata ya Nchi hii, umewapa uhuru raia, vyombo vya habari na online media zote za kijamii, Unawasomesha watoto wao chekechea mpaka vyuo vikuu, barabara kila kijiji, Sekta za uzalishaji zote umeziongezea fedha, umefufua uchumi, umeifungua nchi, umejijengea heshima Duniani kote, BUT hawajataka kuona mazuri yote haya na mengine, sio kwa bahati mbaya.

Tulijua kuwa kutakuwepo na njama za kukuchafua sana mwaka 2024 na 2025, Tunajua Kwenye mikakati yao bado watakuja na mengine ya uongouongo hivi hivi. HATUTAKUBALI KUYUMBISHWA, TUTAPAMBANA NA WANAOTUMWA NA WANAOWATUMA. (Kaandika haya katika Ukurasa wake wa Mtandao wa X juzi )

Hivi ni kwanini lakini nyie Wateule wa Rais Samia mnapenda sana Kumsanifu Mama wa Watu kwa Kujifanya Mnampenda wakati Kutwa tu huwa mnakusanyika Kijiweni Kwenu pale Mbezi Beach na Kumsengenya? Yaani Makonda na Nchemba hii Vita yenu ya Urais wa 2030 huku Mkipambanisha Makundi yenu mtamuharibia Mama wa Watu.

Rais Samia wenye Akili Kubwa tulikuonya sana tu achana na hawa Watu Wawili pamoja na Wenzao wengine Wawili kwani ndiyo Wanakuumiza na Wanakusakizia Ubaya na Chuki kwa Wananchi hutaki Kusikia kwakuwa tu Nchemba anajua kuandika Proposals nzuri kwa Wazungu ambazo zinakufanya upate Fedha zao nyingi za Misaada.

Mwigulu najua umeshajua kuwa katika coming major Cabinet reshuffle ya kuelekea 2025 ambayo nimeambiwa ipo very soon labda kutokee Kitu kingine hapa katikati kuwa haumo kwakuwa tayari umeshashtukiwa haumo / hutokuwepo lakini bado masikini ya Mungu unaendelea Kumsanifu Mama wa Watu kwa kujifanya unampenda wakati Wewe na Kundi lako la The Road to 2030 wala hamumtaki na mnamdharau sana.

Yaani Wewe katika Makabila ni Mtani wangu mkubwa na hata hata Mpira pia ni Watani ukiwa Yanga Mimi Simba sawa?
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas 😂😂😂
Kwenye heading hiyo orodha umechanganya wazalendo na dikteta mmoja na mtuhumiwa mmoja wa mauaji na ujambazi.
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas 😂😂😂
🚮🚮🚮🚮
 
Mtakuwa mumemuweka kwenye list Kwa sababu za Kisiasa Ili mumuangishe kuelekea 2030.

Huyo Mtani wako ni Moja ya Waandamizi na wapambanaji wa Rais.

Mwisho kwani lazima mtu akubaliane na Kila kitu anachotaka Rais? Kwa Asili ya huyo Mtani wako ni mkatili ila hawezi kutokana na msimamo wa Rais.

Mwisho spana zimekolea maana alichoongea huyo Mtani wako ni kweli tupu.

View: https://twitter.com/mwigulunchemba1/status/1779445799375536509?t=d4BGMWyBuJsH1jNcNL-9ng&s=19

Kazi inaendelea 👇👇

View: https://twitter.com/mwigulunchemba1/status/1779753233998565886?t=iHZheMQU1mlNAftGF2eSnA&s=19
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas 😂😂😂
Anachapa barua za Katibu, UWT jana nimeona posho zenu zimetoka
 
The most dangerous enemy in your life is your close friends. Kikulacho ki nguoni mwako.

Unafikiri watu 'waliomtengeneza' Mwendazake mpaka akapata safari ya kwenda huko aliko hivi sasa unadhani ni watu waliokuwa wakiishi mbali naye kama siyo wale wale ambao walikuwa wakimfanyia unafiki wa kumpigia salute kila wakati ??????
Baada ya kumjua Mmoja Wao GENTAMYCINE kuanzia sasa nimeamua kutoamini Mtu yoyote kuanzia Ndugu hadi Marafiki.
 
Wakuu,

Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?

Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.

Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.

Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.

Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
 
Wakuu,

Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?

Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.

Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.

Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.

Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
Chawa Pro Max
 
Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi

1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi

Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.

Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
 
Back
Top Bottom