Lolen lee5
Member
- Feb 8, 2024
- 29
- 27
Kwani wee unaonaje wapi ikoshida😵Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
Kwani wee unaonaje wapi ikoshida😵Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
Mwenyezi munguHivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
Unajivunjia heshima ndugu!!!!!!!Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana
Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan
Kwako Lucas 😂😂😂
Kwenye heading hiyo orodha umechanganya wazalendo na dikteta mmoja na mtuhumiwa mmoja wa mauaji na ujambazi.Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana
Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan
Kwako Lucas 😂😂😂
🚮🚮🚮🚮Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana
Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan
Kwako Lucas 😂😂😂
Anachapa barua za Katibu, UWT jana nimeona posho zenu zimetokaKwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana
Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan
Kwako Lucas 😂😂😂
UWT wanapewa targetMnajaribu Sana kumpromoti huyo jambazi bila sababu za msingi.
Ni mshirikina balaaI wish angeenda nayo tu kwa kweli
Baada ya kumjua Mmoja Wao GENTAMYCINE kuanzia sasa nimeamua kutoamini Mtu yoyote kuanzia Ndugu hadi Marafiki.The most dangerous enemy in your life is your close friends. Kikulacho ki nguoni mwako.
Unafikiri watu 'waliomtengeneza' Mwendazake mpaka akapata safari ya kwenda huko aliko hivi sasa unadhani ni watu waliokuwa wakiishi mbali naye kama siyo wale wale ambao walikuwa wakimfanyia unafiki wa kumpigia salute kila wakati ??????
Akomae na ubungeKatika listi ya waliwa vichwa huyu awe wa kwanza kabisa.
Jina lake liwe la 1
Chawa Pro MaxWakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.
Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.