bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,369
- 24,702
Hili la wageni kuchajiwa zaidi kwenye bidhaa na huduma tofauti na mzawa kwangu naona ni kama ubaguzi labda kama mimi ndo sielewi.
Kwani ukienda ulaya huwa pana bei mbili? Ya mgeni na mwenyeji kama hapa bongo
Kwani ukienda ulaya huwa pana bei mbili? Ya mgeni na mwenyeji kama hapa bongo