Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hata hao wazao wa Ibrahim wenyewe walishaachana na hizo mambo za kumsubiri messiah wa kuwapeleka Kanan. Wanajipeleka wenyewe. Yaani wanaisaka njia wenyewe kwa teknolojia, jasho na damu tu huku wakipanga na kupangua viongozi wao kwenye boksi la kura kwa kadiri wanavyojisikia. Hizo porojo za "wazalendo" wamemuachia kiduku mwenye kazi ya kulinda legacy ya ukoo wa Kim.

Tumerudi nyuma sana!

Halafu John, tafuta darasa makini uelimishwe maana hasa ya "itikadi; ideology". Nimeanza kuamini kuwa inawezekana ikawa kweli kuwa na wewe una uelewa ziro kama ilivyo kwa watanzania wengi.
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Toa magufuli na makonda katika uzalendo. Wale ni wauaji sana
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Well said
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas
Nyie mnafikiri mna mpromote kumbe ndo mnamuharibia mwehu yule
 
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas
WAZALENDO WA NCHI HII NI WAWILI TU NYERERE NA SOKOINE
Huyo Makonda ni Fisadi mkubwa mpaka anagombania nyumba isiyo yake ya GSM
Magufuli hana tofauti na Makonda
 
Sasa ni saa mbili na nusu usiki yule nyamitako hajawataja hao wafadhili wa Mange. Huyu aitwe asutwe kwa kusema uongo
 

Attachments

  • VID-20240415-WA0000.mp4
    3.9 MB
Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana

Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan

Kwako Lucas ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
 
Hata hao wazao wa Ibrahim wenyewe walishaachana na hizo mambo za kumsubiri messiah wa kuwapeleka Kanan. Wanajipeleka wenyewe. Yaani wanaisaka njia wenyewe kwa teknolojia, jasho na damu tu huku wakipanga na kupangua viongozi wao kwenye boksi la kura kwa kadiri wanavyojisikia. Hizo porojo za "wazalendo" wamemuachia kiduku mwenye kazi ya kulinda legacy ya ukoo wa Kim.

Tumerudi nyuma sana!

Halafu John, tafuta darasa makini uelimishwe maana hasa ya "itikadi; ideology". Nimeanza kuamini kuwa inawezekana ikawa kweli kuwa na wewe una uelewa ziro kama ilivyo kwa watanzania wengi.
๐Ÿค๐Ÿ‘
 
Museum ya Arusha ambayo unasema hakuna hii hapa..
Ni sahihi Arusha inahitaji kuboresha miundombinu.

Pili uhakika wa usalama, hii bado ni changamoto sana. Sijajua kwa nini hadi leo serikali inashindwa kuboresha hasa kwenye majiji makubwa.
Tunahitaji kuwa walau na majiji kama dar, Dodoma, Arusha na Mwanza kuwa na huduma zote saa 24 kbl hatujapeleka na mikoa na wilaya zenye shughuli kubwa za kiuchumi.
 
Ni sahihi Arusha inahitaji kuboresha miundombinu.

Pili uhakika wa usalama, hii bado ni changamoto sana. Sijajua kwa nini hadi leo serikali inashindwa kuboresha hasa kwenye majiji makubwa.
Tunahitaji kuwa walau na majiji kama dar, Dodoma, Arusha na Mwanza kuwa na huduma zote saa 24 kbl hatujapeleka na mikoa na wilaya zenye shughuli kubwa za kiuchumi.
Arusha wanakusanya mapato ila ndio Jiji wanaiba sana mapato maana hakuna stand ya maana wanazidiwa na Njombe Mkoa wa juzi tu una stand nzuri ambayo Arusha hakuna...
 
Bure mkuu na sio mbali na mjini ni karibu na ofisi za Tanapa au Aim Mall ipo majengo...
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nikazani mm ndio sielewi mimi nmeenda mara kadhaa hakuna guide sijawai kuelewa ile sanaa ya pale kwa kwelii.
Wafanye hata 1$ kwa guide sio mbaya ni pana kila kitu ila wa kuelekeza yale makorokocho n ma nini hakuna.
 
Utalii utakua kwa kupunguza kodi thus wakiondoka bongo hawarudi Tena.
Wanadai gharama za kutalii tza ni kubwa sana kama mara tatu ya gharama za kutalii Morocco
 
Back
Top Bottom