Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Mkuu mbona una haraka? Si uwape basi Malawi ziwa lao ili ukae kimya, sisi wengine tuendelee kujadili!Si bora ningechora mimi, hiyo ni mipaka iliyowekwa toka enzi za wakoloni. hatuna ujanja katika hili suala. Tutashindwa na malawi kisheria. Malawi hawataki vita na wala hawana haja na vita, bali sheria itafuata mkondo wake.