R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Malawi and Tanzania representatives are scheduled to meet in Mzuzu on August 20 2012 ;
Malawi wana hoja 3 za msingi.
.1. Anglo-Germany treaty 1890 Boundary inayoonesha Tanganyika mpk hupo kwenye beach (coast)
2. Sababu za Kamuzu banda ; kudai Mbeya na Nyasa ni mali ya Malawi
3. Zoezi ili lilikuwepo kitambo kwanini baada ya kuchaguliwa raisi mwanamke ndo Tanzania inapeleka majeshi na si kipindi cha mihula ya viongozi wanaume?
Malawi wana hoja 3 za msingi.
.1. Anglo-Germany treaty 1890 Boundary inayoonesha Tanganyika mpk hupo kwenye beach (coast)
2. Sababu za Kamuzu banda ; kudai Mbeya na Nyasa ni mali ya Malawi
3. Zoezi ili lilikuwepo kitambo kwanini baada ya kuchaguliwa raisi mwanamke ndo Tanzania inapeleka majeshi na si kipindi cha mihula ya viongozi wanaume?