LING'WINA Senior Member Jan 4, 2012 170 114 Jan 8, 2012 #1 ni nini usahihi wa matumizi ya maneno "TUNZO na TUZO?"
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Jan 8, 2012 #2 tuzo huwa inatolewa baada ya kushinda kutokana na upigiwaji wa kura na mnakuwa wengi. tunzo huwa anapatiwa mtu mmoja kama heshima fulani aliyoitoa kwenye jamii yake.
tuzo huwa inatolewa baada ya kushinda kutokana na upigiwaji wa kura na mnakuwa wengi. tunzo huwa anapatiwa mtu mmoja kama heshima fulani aliyoitoa kwenye jamii yake.