NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,306
- 12,803
Mzamiru yasini kaonekana kwenye tunzo ya mchezaji Bora lakini pia kaonekana kwenye tunzo ya kiungo bora.
Hii ni tofauti na Yanga kutokana na kikosi kipana alichonacho na ndiyo maana Khaleed Aucho ama Shaban djuma hawajaonekana kutajwa ama kuwania tuzo yoyote.
Mzamiru Yasin, shomari kapombe na Mohammedi husein wamecheza mechi nyingi mno ni kutokana na kuwa hawana wachezaji mbadala /kuwa tegemezi
Ukija yanga pale namba nane Kuna viungo wengi.
Kwa hiyo Khalid Aucho au Shabani Djuma kutoonekana katika hizo tuzo haimaanishi kuwa wao siyo Bora ni Bora haswaa kuliko hata hao waliochezeshwa mechi nyingi bila mapumnziko.
Hii ni tofauti na Yanga kutokana na kikosi kipana alichonacho na ndiyo maana Khaleed Aucho ama Shaban djuma hawajaonekana kutajwa ama kuwania tuzo yoyote.
Mzamiru Yasin, shomari kapombe na Mohammedi husein wamecheza mechi nyingi mno ni kutokana na kuwa hawana wachezaji mbadala /kuwa tegemezi
Ukija yanga pale namba nane Kuna viungo wengi.
Kwa hiyo Khalid Aucho au Shabani Djuma kutoonekana katika hizo tuzo haimaanishi kuwa wao siyo Bora ni Bora haswaa kuliko hata hao waliochezeshwa mechi nyingi bila mapumnziko.