Waungwana chonde nawaombeni msaada!

PENDING'ULA

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
268
46
Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?
 
Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?

Ingia hapa
https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/95339-mradi-wa-kufuga-kuku-wa-kienyeji-6.html#post3273963
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom