Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
"MASSAGE" SENT! Nimekipenda Kingereza.
Chezea wabara wewe!....Hivi mlipokuwa mnapanga mipango hii ya kuvunja muungano kupitia dini UAMUSHOHamna lolote!!
Kazi ya TISS hii!!!
Aaanh! leo yamekua hayo? wewe si ndiyo ulikuwa kinara mkubwa hapa jamvini kwa kushadidia uonevu ule?MODS mpo wapi?
Huu ni uzushi wa hali ya juu kuwahi kupostiwa hapa kwenye jukwaa
1
Vipeperushi hivi vimesambazwa kwa kasi jana katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar vikiwa na ujumbe unaowataka Wapemba waondoke Unguja na kurudi kwao Pemba wakajipange huko kuukataa Muungano. Sehemu ya waraka huo - angalia kiambatanisho....
Leo utataja majina yote ya wana UAMUSHO lakini sisi hatujali na mtajua wenyewe....hili mmeshalikoroga na lazimadah ccm kweli mahodari kwa propaganda. jana niliziona zile karatasi zinagaiwa pale kisonge(maskani ya ccm) hao viongozi wa uamsho hakuna hata mmoja mpemba, sheikh mselem ni mdonge(unguja) juma musa aliekamatwa juzi akasababisha fujo mdonge(unguja) azzan mfenesini unguja, faridi mama yake pemba baba yake unguja. sasa sijui muamsho gani wanaosema wao! wanataka wawagawa wazenji ili wawastopishe na harakati za kudai zenji yao.
Namwonea huruma sana Dr. Shein, huu mziki ni mzito sana kwake!
Wapemba watarudije kwao Pemba,Wakati raisi wa ZNZ Shein ni Mpemba,makamu wake Maalimu Seif vile vile ni Mpemba,na hao Woote mliwachagua kwa kula nyingi, sasa mbona mnanichanganya jamani!!!!Ninawasiwasi na hicho kipeperushiVipeperushi hivi vimesambazwa kwa kasi jana katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar vikiwa na ujumbe unaowataka Wapemba waondoke Unguja na kurudi kwao Pemba wakajipange huko kuukataa Muungano. Sehemu ya waraka huo - angalia kiambatanisho....
dah ccm kweli mahodari kwa propaganda. Jana niliziona zile karatasi zinagaiwa pale kisonge(maskani ya ccm) hao viongozi wa uamsho hakuna hata mmoja mpemba, sheikh mselem ni mdonge(unguja) juma musa aliekamatwa juzi akasababisha fujo mdonge(unguja) azzan mfenesini unguja, faridi mama yake pemba baba yake unguja. Sasa sijui muamsho gani wanaosema wao! Wanataka wawagawa wazenji ili wawastopishe na harakati za kudai zenji yao.
Mkuu ishu ni Muungano na sio dini?Viongozi wetu wa Dini za Kikristo,
Kaeni mbali kabisa tena kimya kama maji mtungini KUTOKUJIBU UCHOKOZI WA DHAHIRI kule kwa ndugu zetu Tanzania Visiwani.
Kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haiwezi kulinda Wakristo na Ukristo wetu Visiwani basi wanatukosea kikatiba maana walikula kiapo juu ya hili.