Watumishi wa Serikali wazineemesha benki kwa mikopo baada ya kukosa nyongeza ya Mishahara

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Tangu mwezi wa tano lilipotolewa tangazo la kusitisha nyongeza yoyote kwenye mishahara ya Watumishi wa Serikalini, Watumishi hao ambao matarajio yao waliyojiwekea katika mwaka mpya wa fedha kutegemea nyongeza katika mishahara yao yamekuwa tofauti na kujikuta kukopa kwenye mabenki ili kukidhi matarajio hayo.

Benki nyingi za NMB, CRDB, NBC wakopaji ambao ni Watumishi wa Serikali wameongezeka wakiwemo wapya pamoja na wenye mikopo kuongeza mikopo.

Serikali inapaswa kuangalia upya suala la Watumishi wake kwani watumishi hao kukaa kimya na kwenda mabenki kukopa ili wasogeze siku ni kujiongezea mzigo wa ugumu wa maisha kwani hizo walizokopa zitakapoishi huku kwenye mabenki makato ni makubwa, itapelekea kudorora zaidi katika utoaji wa huduma endapo tarajio la kuboreshwa kwa mishahara halitakuwa limezingatiwa.

Hili siyo suala la kiitikadi wala chama fulani. Tutizame hatari ya huko mbele. Watumishi kujitokeza kwa wingi kwenye mabenki kukopa, ni neema kwa wenye mabenki ila ni hatari kwa mwajiri kwani mwajiri atalazimika kumwongezea kipato chake maradufu kufidia na makato ya benki maana mwajiri ndiye mdhamini wa mkopo huo, vinginevyo mkopaji atashindwa kutimiza wajibu wake kutokana na ukata wa maisha.

Nawasilisha Baba.
 
Mpwa hakuna namna inabidi kujipindua kwenye mikopo ukisubiri huruma ya mtukufu lazima unyooshe mikono juu kuna bank imempa mtu mkopo wa 13.6M kwa miaka 5 atarudisha 20+M ukijifanya kukomaa hata mfuko wa cement uuzwe buku tu tutashindwa kujenga.
 
Mpwa hakuna namna inabidi kujipindua kwenye mikopo ukisubiri huruma ya mtukufu lazima unyooshe mikono juu kuna bank imempa mtu mkopo wa 13.6M kwa miaka 5 atarudisha 20+M ukijifanya kukomaa hata mfuko wa cement uuzwe buku tu tutashindwa kujenga.
hatari yake ataishi bila shida miezi miwili ya mwanzo, pesa ndogo hiyo na baada ya hapo atalia na makato plus ukata wa maisha na hawezi kukopa tena.
 
Tangu mwezi wa tano lilipotolewa tangazo la kusitisha nyongeza yoyote kwenye mishahara ya Watumishi wa Serikalini, Watumishi hao ambao matarajio yao waliyojiwekea katika mwaka mpya wa fedha kutegemea nyongeza katika mishahara yao yamekuwa tofauti na kujikuta kukopa kwenye mabenki ili kukidhi matarajio hayo.

Benki nyingi za NMB, CRDB, NBC wakopaji ambao ni Watumishi wa Serikali wameongezeka wakiwemo wapya pamoja na wenye mikopo kuongeza mikopo.

Serikali inapaswa kuangalia upya suala la Watumishi wake kwani watumishi hao kukaa kimya na kwenda mabenki kukopa ili wasogeze siku ni kujiongezea mzigo wa ugumu wa maisha kwani hizo walizokopa zitakapoishi huku kwenye mabenki makato ni makubwa, itapelekea kudorora zaidi katika utoaji wa huduma endapo tarajio la kuboreshwa kwa mishahara halitakuwa limezingatiwa.

Hili siyo suala la kiitikadi wala chama fulani. Tutizame hatari ya huko mbele. Watumishi kujitokeza kwa wingi kwenye mabenki kukopa, ni neema kwa wenye mabenki ila ni hatari kwa mwajiri kwani mwajiri atalazimika kumwongezea kipato chake maradufu kufidia na makato ya benki maana mwajiri ndiye mdhamini wa mkopo huo, vinginevyo mkopaji atashindwa kutimiza wajibu wake kutokana na ukata wa maisha.

Nawasilisha Baba.
kwahiyo ambacho kikingeongezeka ndo kingebadili maisha pamoja na mishara kiduchu ila watumish wa uma haswa walimu wamelelala sana na hawajielewi wanachojua ki kukopa tu na kuongeza deni alafu kulipa tutajua mbele ya safari.
ni mawazo tu
 
Tangu mwezi wa tano lilipotolewa tangazo la kusitisha nyongeza yoyote kwenye mishahara ya Watumishi wa Serikalini, Watumishi hao ambao matarajio yao waliyojiwekea katika mwaka mpya wa fedha kutegemea nyongeza katika mishahara yao yamekuwa tofauti na kujikuta kukopa kwenye mabenki ili kukidhi matarajio hayo.

Benki nyingi za NMB, CRDB, NBC wakopaji ambao ni Watumishi wa Serikali wameongezeka wakiwemo wapya pamoja na wenye mikopo kuongeza mikopo.

Serikali inapaswa kuangalia upya suala la Watumishi wake kwani watumishi hao kukaa kimya na kwenda mabenki kukopa ili wasogeze siku ni kujiongezea mzigo wa ugumu wa maisha kwani hizo walizokopa zitakapoishi huku kwenye mabenki makato ni makubwa, itapelekea kudorora zaidi katika utoaji wa huduma endapo tarajio la kuboreshwa kwa mishahara halitakuwa limezingatiwa.

Hili siyo suala la kiitikadi wala chama fulani. Tutizame hatari ya huko mbele. Watumishi kujitokeza kwa wingi kwenye mabenki kukopa, ni neema kwa wenye mabenki ila ni hatari kwa mwajiri kwani mwajiri atalazimika kumwongezea kipato chake maradufu kufidia na makato ya benki maana mwajiri ndiye mdhamini wa mkopo huo, vinginevyo mkopaji atashindwa kutimiza wajibu wake kutokana na ukata wa maisha.

Nawasilisha Baba.

Si mlisema benki zimesitisha kukopesha? au mmebadili gia angani? kweli uongo haufuki mipaka...ina maana nyongeza ingekuwepo watu wasingelikopa?
 
Mpwa hakuna namna inabidi kujipindua kwenye mikopo ukisubiri huruma ya mtukufu lazima unyooshe mikono juu kuna bank imempa mtu mkopo wa 13.6M kwa miaka 5 atarudisha 20+M ukijifanya kukomaa hata mfuko wa cement uuzwe buku tu tutashindwa kujenga.
mkuu kwa hiyo ile story kuwa bank zimekataa kuwakopesha wafanyakazi waserikali ilikuwa ni utunzi na uongo?
 
Mpwa hakuna namna inabidi kujipindua kwenye mikopo ukisubiri huruma ya mtukufu lazima unyooshe mikono juu kuna bank imempa mtu mkopo wa 13.6M kwa miaka 5 atarudisha 20+M ukijifanya kukomaa hata mfuko wa cement uuzwe buku tu tutashindwa kujenga.
mkuu benki gani ? naomba kujuzwa
 
Back
Top Bottom