Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Baada ya mgomo wa madaktari nchini Tanzania kusitishwa jana leo umehamia nchini Kenya ambapo watumishi wote wa afya wamegoma baada ya serikali kushindwa kuwatekelezea madai ya nyongeza ya mishahara na marupurupu ambayo waliomba wiki kadhaa zilizopita baada ya serikali yao kuwaahidi ingewatekelezea before yesterday. Sasa wamegoma kwa wiki tatu mpaka serikali itekeleze madai yao.
Source: KBC
MY take:
serikali yetu imetuahidi baada ya wiki mbili na sisi tumeamua mpaka kufikia march 3 kama serikali itakuwa kimya tutarudia mgomo ambao utakuwa non stop.
Source: KBC
MY take:
serikali yetu imetuahidi baada ya wiki mbili na sisi tumeamua mpaka kufikia march 3 kama serikali itakuwa kimya tutarudia mgomo ambao utakuwa non stop.