Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

Miaka imesonga sana, maisha yamebadilika Kwa kiasi kikubwa.Tofauti na sasa ambapo ukiwa na simu janja au tarakirishi unapata taarifa zote zilizotokea na zilizovunjika 'breaking news' , Zamani redio ilikuwa chombo muhimu ktk kupata taarifa na burudani

Leo nimewakumbuka wale watuma salamu maarufu enzi zile,ingawa hata sasa wapo baadhi ya watu ambao ni maarufu ktk vipindi mbalimbali ukisikiliza redio km clouds mfano kuna heri dereva babaji,shangwe dereva babaji, Daudi wakota nk

Enzi hizo ukisikiliza kipindi cha mirindimo asilia na Malima Nderema au salamu Kwa wagonjwa,kuna majina maarufu huwezi kuacha kuyasikia wakati wa kutuma salamu

Kuna huyu jamaa wa kuitwa Wajadi fundi Wajadi binadamu mashaka,yeye kila siku yupo safarini kuelekea mahuta shimoni,fundi Khamisi full migebuka wa mwandiga fashion sokoni kigoma

Lawena Msonda Baba mzazi kutoka chunya Mbeya
Ally Mrangi Gigiri Mresa yeye mar kila siku yupo safarini kuelekea mabibo Dar es salaam

Zakaria Ndemfoo, Issa Mzee wa urembo kutoka Moshi.Lupa tingatinga "mdau asiyechuja" ndiyo ilikuwa slogan yake
Bila kumsahau Chesko Mzee wa matunda kutoka Africa Sana

Kuna mdau akiitwa Limonga Justine Limonga na kuna huyu mama Abuu wa majani mapana.Kuna jamaa aliitwa Fikiri Dario Gakala wa GGM Geita na Filbert Kyenshambi kutoka Muleba-Nshambi,wapo wengi sn na tulikuwa tunaenjoy sn Enzi hizo

Unawakumbuka baadhi? Unazikumbuka kauli mbiu zao maarufu zilizotamba?
Enzi za kadi RTD ......wakaweka kabisa live stand ya mkoa.......Bokoman Mkongoman,Wajadi fundi wajadi, binadamu mashaka 🤣🤣🤣
 
Hadi Leo ukisikiliza TBC taifa hao watuma salamu za kugombea timu Fulani ifungwe bado wapo..Utamsikia yanga funga hao Azam goli mbili bila,alafu kipindi mtangazaji anasoma Tyr yanga wameshachezea kimoja na Mechi ipo dakika ya 88..unaishia kucheka Tu
Kumbe hiyo style bado ipo! Mimi mbeba box huku Mkuu sina access ya kusikiliza mpira wa huko.
 
Miaka imesonga sana, maisha yamebadilika Kwa kiasi kikubwa.Tofauti na sasa ambapo ukiwa na simu janja au tarakirishi unapata taarifa zote zilizotokea na zilizovunjika 'breaking news' , Zamani redio ilikuwa chombo muhimu ktk kupata taarifa na burudani

Leo nimewakumbuka wale watuma salamu maarufu enzi zile,ingawa hata sasa wapo baadhi ya watu ambao ni maarufu ktk vipindi mbalimbali ukisikiliza redio km clouds mfano kuna heri dereva babaji,shangwe dereva babaji, Daudi wakota nk

Enzi hizo ukisikiliza kipindi cha mirindimo asilia na Malima Nderema au salamu Kwa wagonjwa,kuna majina maarufu huwezi kuacha kuyasikia wakati wa kutuma salamu

Kuna huyu jamaa wa kuitwa Wajadi fundi Wajadi binadamu mashaka,yeye kila siku yupo safarini kuelekea mahuta shimoni,fundi Khamisi full migebuka wa mwandiga fashion sokoni kigoma

Lawena Msonda Baba mzazi kutoka chunya Mbeya
Ally Mrangi Gigiri Mresa yeye mar kila siku yupo safarini kuelekea mabibo Dar es salaam

Zakaria Ndemfoo, Issa Mzee wa urembo kutoka Moshi.Lupa tingatinga "mdau asiyechuja" ndiyo ilikuwa slogan yake
Bila kumsahau Chesko Mzee wa matunda kutoka Africa Sana

Kuna mdau akiitwa Limonga Justine Limonga na kuna huyu mama Abuu wa majani mapana.Kuna jamaa aliitwa Fikiri Dario Gakala wa GGM Geita na Filbert Kyenshambi kutoka Muleba-Nshambi,wapo wengi sn na tulikuwa tunaenjoy sn Enzi hizo

Unawakumbuka baadhi? Unazikumbuka kauli mbiu zao maarufu zilizotamba?
Manka Mushi, Jumanne Sebarua Tingisha, Muhiri obare. Watoto wa 2005 hawataelewa kitu
 
Huyu ndy Yule wa kutuma Salamu nyingi Hadi mtangazaji anachukia?
Hapana, huyu alikuwa akianza kuitika inabidi na muziki uzimwe studio. Alipenda sana kupiga simu RFA ila siku moja nikamsikia Radio One. Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam
 
Kuna huyo mdada alikuwa anaitwa Manka Mushi alienda wapi? Sema huyo Baba Mzazi Baba kutoka Makongorosi Chunya nampenda Sana na Mungu amzidishie huwa anasaidia wenye uhitaji kupitia redioni.
 
Hapana, huyu alikuwa akianza kuitika inabidi na muziki uzimwe studio. Alipenda sana kupiga simu RFA ila siku moja nikamsikia Radio One. Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam
Ahahahah unatujazia seva mkuu..kitukia gani huko Kwa kukera
 
Rest in peace mzee Zakaria
 

Attachments

  • DSC01245.JPG
    DSC01245.JPG
    19.4 KB · Views: 35
Back
Top Bottom