Najaribu kutafuta uwiano wa hizi kesi na zile porojo za mtaalam wetu mkuu wa mambo ESCROW pale Diamond Jubilee na hitimisho lake kwamba PESA HAZIKUWA ZA UMMA.
NAPATA UTATA!
Naomba nikusaidie bwana great thinker mwenye uvivu wa kufikiri, leo ukiwauzia TRA vifaa vya computer, wakakulipa, lakini kesho ikaonekana mfanyakazi wa TRA aliyeidhinisha malipo kwako umemuingizia fedha bank katika account yake, basi huyo mfanyakazi wa TRA pamoja na wewe mtashtakiwa kwa Rushwa pamoja na kwamba hiyo pesa sio ya Uma, ni ya kwako