Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
yani kwanza nilipoziona hizo picha hapo nilitegemea kukuta michango ya wadau inasoma page kama sitini(60) hivi jamani hili ni kosa kubwa sana kwa kiongozi mwenye uwezo wa kumfanya mtu fulani awe kwenye nafasi flani kuwepo kwenye kitu kama hiki...! kwa viongozi waadilifu na wenye busara zao hata wakialikwa hua wanatoa excuses labda kama iwe ni kitu ya kiserikali kama mambo ya kuapishana na nini lakini kwenda kuminya bata wazeee....! yani hii inaonesha jinsi gani watanzania tuko kwenye usingizi wa ujinga
unajua watanzania wengi tuna hali kama ya kuwaabudu viongozi hivi..! hiki kitatupeleka mbali sana yani.. mbali na ulimwengu wa maendeleo..! tutarudi kulee nyuma ambapo watu walikua wanasema machifu hawakosei..!! jamani hawa nao wanakosea tu kama sisi nao wameumbwa hawajashushwa hawa....! mimi kwakweli hua nikiona mtu anakua kama anamuabudu kiongozi huwa ninakerwa sana wadau...!
hawa ni wakuawachana live tu wanapokosea....
UMESIKIA WEWE MICHELLE.......??????
Nimesikia nini tena mkuu? simwabudu kiongozi yeyote nchini,namwabudu Mungu tu...!