Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Anawezampita Nyani Ngabu, Rais wa wabeba box?
Thubutu yake!
Anawezampita Nyani Ngabu, Rais wa wabeba box?
Wana JF,
Kweli Does this make any sense kusheherekea kwenda fanya kazi Officen kweli sheherekea una graduate huko, hii inaonyesha ignorance kwa sisi watanzania mfanyakazi wa kawaida tu balozini washeherekea hii ndio taswila kamili ya kutumia matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi even if it was her money yet repercussion
yake kwa society yetu ni inastahajabisha pia.
Inaelekea kuna ulaji ubalaozi wa Tz Washington USA kama ni hivyo?Kinachosherehekewa hapo ni kupangiwa kazi Marekani!
Angepangiwa kazi Malawai wala asinge throw party.
Inaelekea kuna ulaji ubalaozi wa Tz Washington USA kama ni hivyo?
Ama ni furaha ya kutembea tu?
Duh! Ndo maana wanawake tunagandamizwa sana in pursuing our careers! Sasa is that party official ama? Ndo maana Michelle kasema Mindi kaandaa party mwenyewe! There is nothing professional in that party! Ni kufurahia ulaji tu, akabembee US! Vitu kama hivi kiukweli vinanifanya nione aibu kuwa a professional woman, how do I defend myself kuwa sifanyi hivi kwenye official parties?!
Hofstede kwa kumbukumbu zangu ni mtaalamu wa umuhimu wa culture in doing business internationally, na Binti huyu Mindi anaielewa culture ya USA, kwa maoni yangu kwa uelewa huo kunampa nafasi yeye au mwingine yeyote mwenye uzoefu wa pamoja na mambo mengine uelewa huu wa utamaduni wa Marekani. Vigezo vya kuteuliwa -sheria ya utumishi wa umma!
Huu utamaduni umejengeka sana Tanzania.Tusimlaumu Mindi bali mfumo mzima unaoanza na wale waliokomaa katika madaraka/nafasi. Mtu akipata ubunge, uwaziri au cheo chochote kile , utaona maandalizi makubwa sana ya kusherehekea.
Tujiulize, kama mtu kapewa kibarua cha kutumikia wananchi, sherehe huwa za nini? Labda sherehe zingekuwa za kutoa shukrani kwa Mungu na kumwomba Mungu awape busara, afya na nguvu za kutenda kwa uaminifu tungeelewa.Anyway, labda hatujajua madhumuni ya sherehe hizo.Wenye kujua watuambie.
Hii ni hatari sana. Ndiyo maana tz imekosa kila kitu hapa duniani hasa toka kipindi cha awamu ya nne ilipoingia madarakani. Vyeo na nafasi mbalimbali zimekuwa zikitolewa kama zawadi kwa wapenzi, ndugu, marafiki na hata kuzingatia mambo ya dini bila kuangalia uwezo wa anayeteuliwa.
Hapa swala ni kwanini mawaziri wawepo kwenye sherehe hiyo, that is obvious kwamba hao ndiyo waliofanikisha huo uteuzi. Hii ni hatari sana, kwani nani asiyefahamu ukaribu kati ya nchimbi na lukuvi na rais?
Yaani hii nchi imefikia kipindi itawaliwe na dictator lkn ana nidhamu ya kazi na taaluma na zaidi awe na vision.
Kwa hakika kwasasa, tz hatuna viongozi. Ni wasiwasi sana na nafasi ya nchi itakavyokuwa economically and socially by october 2015.
arifu kupelekwa mtoni ni bonge la dili........si umeona hata watoto wa vigogo hawako kenya au nigeria.......hapo huyu binti lazima kuna shukrani lazima azilipe ...soon tutasikia safari ya jk majuu....Kupangiwa Marekani dili. Sidhani Kama angepangiwa Msumbiji angefurahia hivyo!
arifu huyu shori anakuja kula bata la kufa mtu majuu....mtamkoma.....Thubutu yake!
Simfahamu Mindi, umesema huhoji uhalali wa qualification zake...ishu ni hao viongozi kujirusha na vimwana, kwa mantiki hiyo hapo Mindi angekuwa na wakina Sophia Simba na Zakhia Meghji na vinywaji na huduma zikawa hiyo hivyo kusingekuwa na tatizo sio??
Hoja iwe uwezo wake kufanya kazi ubalozini, kwa hela ya walipa kodi wa Tanzania na si walioenda kumuaga, sherehe kaandaa Mindi,wao wamealikwa.
Anasheherekea kuteuliwa kwenda kufanya kazi ubalozi wa Tanzania USA!