Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
aisee hapa wapi nimepapenda
Duh nani kaiga mie au weye mkuu?Usifisadiane hapa...mla halwa, mla huliwa duh like similar vile....ila wote tuwe tunampigia slaa...
aisee hapa wapi nimepapenda
Shida ya mahali kama hapa wenyewe hawapati zile za kibongo kama POWER, VALUER,na konyagi pori!..ndo mana hutoona mtu hapo!
Tumefunga huwezi kutuona kwani huu ni mwezi wa TOBA!!
ingevutia zaidi kama ungetumia hayo maneno mawili bila ya kuweka watu Ingewafanya watu wajiulize kuna nini kuko tena ?