Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,520
- 22,015
Mlianza kwa kupeana majina kama honey, darling, sweetheart, babe, honey bunny, sweetie, bear, poppy, cutie, sunshine, then mkaenda sugar...
Kwa sasa mko wapi?
Kwa sasa mko wapi?
Kwa hiyo na majina yamefungwa?Watu si wamefunga ndoa jamani
Wanaitanaje sasa 😂wamebadili majina,,,
Wewe hujaenda kuandamana?Wako kwenye maandamano nchi inapigwa mnada
😥😥Mungu atunusuruTuko huku kwa mange.
Nyie amkeni ka mange sikapendagi ila kwenye sakata la bandari kamesimama kama mtanzania kawavua nguo nendeni kweny page yake mjionee ista viongozi wakubwa ndo vinala wa mapenzi ya jinsia moja.
Hii nchi imelaaniwa.
Ni heri umfatilie Mbuta kuliko huyo Mange chakula cha mafisadi wawapo ughaibuni.Tuko huku kwa mange.
Tunakumbusha tu tulivyopita ktk maigizo ya mapenzi mkuuKwani uliumia wakiitana hivyo, mkuu?
Sikapendagi ila kwa hili kamesimama.Ni heri umfatilie Mbuta kuliko huyo Mange chakula cha mafisadi wawapo ughaibuni.
Haya kaunge mkono hako usikokapendaSikapendagi ila kwa hili kamesimama.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣DP World in porno enthusiasts' perspectives means double penetration world, copy that
Aisee 😃Nikikumbuka hadi majina ya watoto tulishachagua...mwili wote unapata ganzi