Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Nimewasubiri hapa Counter hamtokei...kulikoni vitu visahpoa hapa!
Shida ya mahali kama hapa wenyewe hawapati zile za kibongo kama POWER, VALUER,na konyagi pori!..ndo mana hutoona mtu hapo!
Shida ya mahali kama hapa wenyewe hawapati zile za kibongo kama POWER, VALUER,na konyagi pori!..ndo mana hutoona mtu hapo!
hapo mkuu unapiga vitu Gin.....kwa kupimiwa halafu ghaliiiii!Shida ya mahali kama hapa wenyewe hawapati zile za kibongo kama POWER, VALUER,na konyagi pori!..ndo mana hutoona mtu hapo!
hahahahaaa! u made my evening.hapo unapata vyenye sir names tu....kina johny walker, remmy martin, jack daniel, glen morangue na wengineo wengi
hapo mkuu unapiga vitu Gin.....kwa kupimiwa halafu ghaliiiii!
Sisi tumezoea unanua lichupa lote unakamua, ikibaki unaweka chini ya seat ya gari unachapa mwendo,
hahahahaaa! u made my evening.
Agiza nakuja fasta.......make sure umenunua alter wine ili wanyunyize kwenye mdudu wakati wanakaanga.pitia basi hapa lilies sinza mori tukamue mdudu
Mbona sioni Safari Lager,ah siji bila Safari LagerNimewasubiri hapa Counter hamtokei...kulikoni vitu visahpoa hapa!
Agiza nakuja fasta.......make sure umenunua alter wine ili wanyunyize kwenye mdudu wakati wanakaanga.