Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Watu 8 wamefariki na wengine 12 kujeruhiwa kwenye ajali ya Kipanya AMA Hiace iliyotokea katika eneo la IHANDA kilometa 15 kutoka makao makuu ya wilaya Mbozi.
waliofariki ni Dereva na Konda wa basi hilo pamoja na abiria 6 akiwemo Mtoto.
Gari hilo lilikosa mwelekeo na Kisha kuligonga gari jingine aina ya prado lililokuwa upande mwingine wakati yakipishana hatimaye Hiace kupinduka.
majeruhi 8 wa ajali hiyo wapo katika halo mbaya baada ya kukatika miguu
waliofariki ni Dereva na Konda wa basi hilo pamoja na abiria 6 akiwemo Mtoto.
Gari hilo lilikosa mwelekeo na Kisha kuligonga gari jingine aina ya prado lililokuwa upande mwingine wakati yakipishana hatimaye Hiace kupinduka.
majeruhi 8 wa ajali hiyo wapo katika halo mbaya baada ya kukatika miguu