Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Watu 37 wamefikishwa mahakamani nchini Tanzania kwa kuharibu makanisa huko Mbagala. Wamefanya uharibifu wa kuchoma makanisa na kuiba pesa na vitu vya thamani inayozidi dola laki tatu.
Source: BBB Swahili.
Source: BBB Swahili.