Upuuzi Mtupu Ukiwauliza Sasa Kifungu Gani Kinawapa Mamlaka Kukamata Watu Wanaokula Mwezi Huu Hawana Majibu Kama Suala La 3D Ambalo Nyuma Kuna.

Masasi And Kiboko Company Limited
 
Nimeiona kwenye habari leo UTV, je zanzibar inaendeshwa kwa sheria za kiislamu?
Lakini kwanini ule hadharani mwezi wa ramadhsni? Kila nchi ina by-laws zake kama huwezi kuzitii ondoka hilo eneo neenda pale unapo ona kuna usalama kwako.
 
Ndio umejua leo??

Basi umechelewa kujua labda kama mlisahau hii maana watanganyika wasahaulifu kweli.

Hiyo sikukuu bara mlishaifanya mapumziko ?

Kama hamjawahi basi 'the end justifies the means'
images (54).jpeg
 
Nakumbuka 2020 nimekamatwa pale CCM bar- Michenzani kisa nakula kipindi cha Corona. Niliteswa sana na Askari Police wa Kizanzibar. Wakinena maneno ya Wewe Mbara acha kuzingua.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa idadi ya watu waliokamatwa kwa tuhuma za kutenda makosa mbalimbali kufikia sitini na mbili...
Kuna kukua kimwili, kiroho, kijamii nk nk.

Ikiwa mmeridhia kuishi na jamii tofauti tofauti, inabidi kukuwa kijamii.
 
Zanzibar ni Nchi ambayo imeungana na Tanganyika.

Zanzibar ina Serikali yake ya mapinduzi na ina sheria zake na ina Katiba yake!

Hata huko Marekani Nchi inaitwa United States of America 🇺🇸

Lakini kila state ina sheria zake ambazo sheria nyinginezo ni tofauti na states zingine.

Na watu wanatii hizo sheria bila kuuliza mbona sheria zinatofautiana katika majimbo mengine ilhali hii ni Nchi moja?

Tatizo la baadhi ya watu wa Bara wanadhani Zanzibar sio Nchi 😅😅😅🙏🙏

Zanzibar ni Nchi!

Ina sheria zake na pia ina Katiba yake
 
Kwenye uislamu hakuna.kitu kinachoitwa co-existence. Ile dini inapiganiwa na binadamu kuliko mwenye dini mwenyewe.
Sini unaota yule alikamatwa na tunguli Airport uarabuni anasema anaenda kuhiji amebeba daftari michoro ya ajabu eti yanahusu allah hadi yule askari muarabu akasema mimi pia najua. Quran lakini haifundishi hivi.. hata wenye dini yao wanashangaa
 
Back
Top Bottom