Watoto wanaotumika Kupokea Viongozi

Shukrani Mkuu, kuna watu wanatoa majibu ya hovyo hovyo tu hapa, utadhani hawalipi kodi yeyote ile. Huyo mtoto anajitolea tu? Ama kuna gharama analipwa?

Mchakato wa kumpitisha ukoje? Maana nina uhakika kuna watoto LUKUKI wenye vipaji mbalimbali hapa nchini.
Halipwi kitu huyo mtoto anagharamiwa usafiri tu .
Mchakato wa kumpata ni classified information lakini lazima mzazi awe anajulikana Sana na watu wa eagle house
 
Swali fikirishi sana. Watu watakuja na majibu mengi tu ya kukukosoa, lakini ukweli ni kwamba jibu sahihi linahitajika maana sijawahi kusikia maombi ya kazi kwa watoto hao.
Nafikiri ni watoto wa wanye nafasi tu na si vinginevyo. Kwani yule mtoto wa Baba nanii na Mama nanii kule kijijini nani anayemfahamu?
Ajira kwa watoto haziruhusiwi. Chadema mnaficha watoto wenu mnauliza watoto wa wengine. Watoto wa Mbowe unawajua? Ulishawahi waona kwenye maandano yoyote aliyoandaa Mbowe?
 
Halipwi kitu huyo mtoto anagharamiwa usafiri tu .
Mchakato wa kumpata ni classified information lakini lazima mzazi awe anajulikana Sana na watu wa eagle house
Anakodiwa usafiri ama anapewa pesa ya kukodi mwenyewe?
 
Ajira kwa watoto haziruhusiwi. Chadema mnaficha watoto wenu mnauliza watoto wa wengine. Watoto wa Mbowe unawajua? Ulishawahi waona kwenye maandano yoyote aliyoandaa Mbowe?

Hilo siyo jibu. hata kama siwajui, tuambie hao watoto ni wana nani. Kama ni wa mbowe , sima ni watoto wa mbowe.

Swali dogo sana linaulizwa watu wanatafuta majibu kipindi chote hiki, inamaanisha kuna walakini hapo.
 
Wanapatikana vipi? Kuna utaratibu maalum? Ama ni upendeleo fulani tu?
Mzee unataka ukawapokee wewe? Au unataka mwanao ndo akawapokee? Mambo mengine hupaswi kuyajua Bali kuona tu matokeo yake.
 
Ni mtoto wa taifa Tanzania
Kama na wewe unataka wa kwako ashirikishwe tuma maombi Ikulu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom