Hawa watoti ni Bab Kubwa.CDM mmelamba dume.
Hoja hapa si kama watoto wa Kaka yake si wake, hoja hapa ni kwamba Baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza na kuandika kwamba ni watoto wa Steven Wassira. Steven ana haki ya kuweka mambo sawa na wala hajawakana kama si watoto wa ukoo wao!!Pesa, pesa hadi anakana watoto, jamani kwani watoto wa kaka yako si wako, halafu kuna mtu anaandika Steven Wasilaa
I bet you, if one of those Wassira women contests the Bunda constituency come 2015 , she will beat Stephen wassira hands down!! Wanachohitaji ni ujasiri tu wa kuthubutu!!
Haya ndio matatizo ya gutter politics... Katika haya mambo ya kisiasa msingi wa familia yoyote ni mshikamano hasa wakati wa kashfa mbali mbali ziwe za kweli ama uongo. Sielewi uhusiano wa hao mabinti na Waziri Wassira, ila ukweli utabaki lazima kutakuwa na kidoa kimeingia sababu tu ya baadhi ya waandishi waliandika habiri katika misingi ya ushabiki!
Imekuwa ni sifa kutaja watoto wa mkubwa fulani kajiunga CDM nadhani in a way kama kuonesha kuwa watoto hawawakubali wazazi wao na vyama vyao (mara nyingi kutoka CCM). Ile habari ya juzi kuhusu hao mabinti ilielezwa in the lines ya kuonesha Waziri Wassira kana kamba ni baba yao mzazi, kumbe NDIO ni ndugu lakini sio baba yao Mzazi.
Nam support Wassira kuliweka wazi kuwa wale sio wanawe na kwamba wa ndugu yake... ingawa kauli yake inaonesha wazi ni namna gani amekereka; na nawapongeza pia akina binti Wassira kuliweka hili wazi na kulipa ufafanuzi na kutowa upande wao wa shillingi. Haya mambo hayatakoma, yataendelea tu ili mradi ushabiki wa majina makubwa katika siasa yakiendelea kushobokewa... Mambo ya aibu basi tu.
Hata wangesema ni watoto wa steven \wasira ilikuwa hakuna sababu ya msingi kujibuHoja hapa si kama watoto wa Kaka yake si wake, hoja hapa ni kwamba Baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza na kuandika kwamba ni watoto wa Steven Wassira. Steven ana haki ya kuweka mambo sawa na wala hajawakana kama si watoto wa ukoo wao!!
kama umri wao unaruhusu kugombea ningeshauri mmoja wao agombee jimbo la steven wasira' yule mzee anatakiwa kupotea katika ulimwengu wa siasa
Ni kweli mkuu hao mabinti wamefanya safi sana kuliweka sawa japo pia nadhani ni vijembe kwa baba yao kubwa aliyewakana.Safi sana kwa kutoa ufafanuzi ili watu wasioelewa waweze kuelewa vizuri.
Kuna tatizo kwa yeye kujibu? Sababu ya msingi ni ipi?Hata wangesema ni watoto wa steven \wasira ilikuwa hakuna sababu ya msingi kujibu
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
Hahahahahaaaaa, sipati picha GAMBA original likijiunga na CHADEMA.Kudadeki watu mna hasira, itakuweje siku so and so Kikwete akijiunga CDM?
Ingekuwa ni wewe ungeenda kulumbana na wanao vyombo vya habari? Angekaa kimpya habari hii ingeshakuwa historia sasa imezidi kuwajenga chadema na hao watoto piaKuna tatizo kwa yeye kujibu? Sababu ya msingi ni ipi?
Kwani Steven Wassira ana haki miliki ya jina la Wassira? Kwanini akurupuke asema ni yeye huku akijua kuna Wassira mwingine mwenye hao watoto!Kumbe sio Steven Wassira.