Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

Jana CUF nao walilamba dume kwa John Bayo yule diwani aliyefukuzwa na Chadema huko Arusha.
 
Pesa, pesa hadi anakana watoto, jamani kwani watoto wa kaka yako si wako, halafu kuna mtu anaandika Steven Wasilaa
 
Pesa, pesa hadi anakana watoto, jamani kwani watoto wa kaka yako si wako, halafu kuna mtu anaandika Steven Wasilaa
Hoja hapa si kama watoto wa Kaka yake si wake, hoja hapa ni kwamba Baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza na kuandika kwamba ni watoto wa Steven Wassira. Steven ana haki ya kuweka mambo sawa na wala hajawakana kama si watoto wa ukoo wao!!
 
I bet you, if one of those Wassira women contests the Bunda constituency come 2015 , she will beat Stephen wassira hands down!! Wanachohitaji ni ujasiri tu wa kuthubutu!!

100% this is TRUE.... TENA CDM MUST TAKE THIS QUICKLY INTO ACCOUNT.... If ONE between the TWO, will be appointed by CDM & RUN for Bunda ... winning by landslide is must...!!!
 
Haya ndio matatizo ya gutter politics... Katika haya mambo ya kisiasa msingi wa familia yoyote ni mshikamano hasa wakati wa kashfa mbali mbali ziwe za kweli ama uongo. Sielewi uhusiano wa hao mabinti na Waziri Wassira, ila ukweli utabaki lazima kutakuwa na kidoa kimeingia sababu tu ya baadhi ya waandishi waliandika habiri katika misingi ya ushabiki!

Imekuwa ni sifa kutaja watoto wa mkubwa fulani kajiunga CDM nadhani in a way kama kuonesha kuwa watoto hawawakubali wazazi wao na vyama vyao (mara nyingi kutoka CCM). Ile habari ya juzi kuhusu hao mabinti ilielezwa in the lines ya kuonesha Waziri Wassira kana kamba ni baba yao mzazi, kumbe NDIO ni ndugu lakini sio baba yao Mzazi.

Nam support Wassira kuliweka wazi kuwa wale sio wanawe na kwamba wa ndugu yake... ingawa kauli yake inaonesha wazi ni namna gani amekereka; na nawapongeza pia akina binti Wassira kuliweka hili wazi na kulipa ufafanuzi na kutowa upande wao wa shillingi. Haya mambo hayatakoma, yataendelea tu ili mradi ushabiki wa majina makubwa katika siasa yakiendelea kushobokewa... Mambo ya aibu basi tu.

Kama ulitazama ITV siku ile ilielezwa wazi kabisa ni watoto wa ndugu yake waziri wasira,sasa sijui ilikuwaje yamekuwa mazito,labda siku hizi habari ni chache.
 
Lilian & Esther Wassira, mmetoa maelezo ambayo hayahitaji hata tone la nyongeza ili mtu awaelewe! Mmewapa vidonge vyao, wakimeza, wakitema ni shauri yao!
 
Hoja hapa si kama watoto wa Kaka yake si wake, hoja hapa ni kwamba Baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza na kuandika kwamba ni watoto wa Steven Wassira. Steven ana haki ya kuweka mambo sawa na wala hajawakana kama si watoto wa ukoo wao!!
Hata wangesema ni watoto wa steven \wasira ilikuwa hakuna sababu ya msingi kujibu
 
"Kwa vile kuchukua dola ilikuwa ndio ndoto ya baba yetu mzazi Mwanzilishi wa CHADEMA, sisi kama watoto tumejiunga na M4C ya CHADEMA ili tuweze kutimiza ndoto ya baba yetu kuwa CHADEMA siku moja ichukue jukumu la kuiongoza Tanzania". Nimeipenda sana hii.

Hii taarifa inafuta kabisa uchafu aliiongea Wasira kuhusu Dr Slaa kuwaita wake za watu chumbani
 
Safi sana kwa kutoa ufafanuzi ili watu wasioelewa waweze kuelewa vizuri.
Ni kweli mkuu hao mabinti wamefanya safi sana kuliweka sawa japo pia nadhani ni vijembe kwa baba yao kubwa aliyewakana.
 
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.

Ni watoto walio jitambua na nadhani wako above 18.
Wasira Awapate wapi watoto shupavu kama hawa?
Nawapongeza sna kwa kumkana huyu mzee maana anatafuta umaarufu.lol!
 
Huyo Baba yenu Mdogo anajiona yeye jina Hilo la Wasira analimiliki Yeye!! Kwani Maisha yenu Yanamtegemea Sana? Kama sio Hivyo Mpuuzeni!!
 
Back
Top Bottom