Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Habari imeandikwa kwenye vyombo vya habari ulitaka yeye akakanushie wapi kama si kwenye vyombo hivyo hivyo vya habari. Kama kuna chombo cha habari kiliandika "watoto ni wa Steven Wassira" kilikuwa sahihi?Ingekuwa ni wewe ungeenda kulumbana na wanao vyombo vya habari? Angekaa kimpya habari hii ingeshakuwa historia sasa imezidi kuwajenga chadema na hao watoto pia