watoto wa viongozi bungeni,Makamba,Msuya,Kawawa(2),sokoine,mwinyi,ktk michuziblogg wameweka picha ya vita kawawa na dada yake wote wabunge ,wakiwa ktk viwanja vya bunge.
sio crap swala ujiulize kuingia kwao kuko merited? na kwa manufaa ya nani? CCM au Wananchi maana naskia Vita Kawawa alifanya mama Sijaona kupelekwa Ubalozi Japan kisa asipate upinzani wenye akili jimboni! na huyo dada yake hata sijui kaingilia kupitia mlango upi maana madaraka ni kupeana sasa hivi? Huyo Mwinyi sioni anachofanya kama Waziri huyo wa Sokoine na Msuya nao hata sijui wana upeo gani katika madaraka waliyopewa! Makamba ndo huyo tunaona anajigamba lakini anajulikana yuko upande ganiSo what ????!!!!! crap
watoto wa viongozi bungeni,makamba,msuya,kawawa(2),sokoine,mwinyi,ktk michuziblogg wameweka picha ya vita kawawa na dada yake wote wabunge ,wakiwa ktk viwanja vya bunge.
nampenda lowasa kwa kuwa mtu wa vision,yeye amemuwezesha mwanae kutoingia ktk politics za nchi hii.he will build the empire ambayo baba ameweka msingi madhubuti kuliko kurithisha watoto siasa kama akina Mubarak wa Egypt, and syria
Hivi mbona watoto wa viongozi wa upinzani hujawataja? Tena wao hawasubiri baba zao kuondoka bungeni wapo pamoja humo humo. Acha wivu...!!
We unadhani kwa kuwa baba zao wamekuwa viongozi basi wao hawana haki ya kugombea?
Umetumwa hujui usemachonampenda lowasa kwa kuwa mtu wa vision,yeye amemuwezesha mwanae kutoingia ktk politics za nchi hii.he will build the empire ambayo baba ameweka msingi madhubuti kuliko kurithisha watoto siasa kama akina Mubarak wa Egypt, and syria
watoto wa viongozi bungeni,Makamba,Msuya,Kawawa(2),sokoine,mwinyi,ktk michuziblogg wameweka picha ya vita kawawa na dada yake wote wabunge ,wakiwa ktk viwanja vya bunge.
Naomba ututajie watoto hao wa viongozi wa upinzani tuwajue pia tusiongee nadharia.
New mzalendo, nina wasiwasi na uzalendo wako, nafikiri ni ule ule uzalendo wa akina lowasa wa kuiibia nchi hii masikininampenda lowasa kwa kuwa mtu wa vision,yeye amemuwezesha mwanae kutoingia ktk politics za nchi hii.he will build the empire ambayo baba ameweka msingi madhubuti kuliko kurithisha watoto siasa kama akina Mubarak wa Egypt, and syria
Wote hawa wamepita kwa merits zao, Makamba though kapita bila kupingwa lakini anaonekana ni mzuri tunategemea mema toka kwake. Vita ni mzuri, tumeona vita vyake bungeni.
watoto wa viongozi bungeni,Makamba,Msuya,Kawawa(2),sokoine,mwinyi,ktk michuziblogg wameweka picha ya vita kawawa na dada yake wote wabunge ,wakiwa ktk viwanja vya bunge.