Watoto wa vigogo Tanroads wafukuzwa kwa kughushi

Baada ya siku chache watakuja na tamko kuwa sikusema hivo bali waandishi wa habari walininukuu vibaya.
 
huko bungeni nako mtapita lini? tumesikia wabunge wengi tu vyeti vyao ni vya kimagumashi...
 
Safi sana,

Yale mambo ya zamani mtoto wa mkubwa kupewa kazi na tenda hakuna tena, ukifanya hivyo wewe ulietoa ajira na muajiriwa wote mnafukuzwa kazi, safi sana serikali naomba muwapekue na wengine wengi

Thibitisha madai yako Chris Lukosi na UKISHINDWA kuyathibitisha tafadhali naomba UYAFUTE!

Unachoongea hapa ni tofauti kabisa na hali halisi ya ajira za TZ:Bila memo ya kigogo HUPATI ajira na hivi karibuni hao hao TANROADS wametangaza ajira lkn ni vurugu tupu!
 
SERIKALI imewafukuza kazi watoto wa vigogo waliopata ajira bila ya kufuata taratibu za kisheria katika mizani inayosimamiwa na Wakala wa Ujenzi wa Barabara(Tanroads).

Hata hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kudai kuwa, kuna baadhi ya watoto wa vigogo wamepata ajira kinyume na taratibu.

Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali kuu (PAC), Mkurugenzi Mkuu wa Tanroads, Mhandisi Patrick Mfugale alisema watoto hao waliajiriwa kimakosa.
Alisema watoto hao wametambuliwa na kwamba baadhi yao tayari wamechukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi huku wengine vyeti vyao vikiendelea kukaguliwa.

“Kuna baadhi ya wafanyakazi walikuwa wamepata ajira kinyume na taratibu, hii inatokana na kupata ajira kwa kujuana lakini suala hili tayari tumelifanyia kazi na baadhi yao tumewafukuza,” alisema Mhandisi Mfugale.

Alisema kutokana na hali hiyo, wataendelea kuhakiki vyeti vya wafanyakazi wote na kuhakikisha kuwa, wanatangaza ajira upya ili wenye vigezo waweze kupitishwa na wasiokuwa navyo waondolewe.

Alisema mkakati uliopo ni kuhakikisha kuwa, ajira zinazotolewa katika idara hiyo ni za muda mfupi, ili kuondoa mianya ya ajira za kujuana.

Aliwataka mameneja wote wa mikoa kufuata taratibu za kisheria katika kutoa ajira kwa wafanyakazi wapya.

No NAMES? Tutajuaje ni kweli? Tired of " & " Unconditional News...
 
Wanaposema mtoto wa kigogo wanamaanisha nini?

Mtoto wa waziri? mbunge chama tawala? diwani? MD wa kampuni? mtoto wa mkuu wa mkoa? mkuu wa wilaya? mtoto wa mbunge chama pinzani? Mtoto wa mkurugenzi wa halmashauri? Mtoto wa mkuu wa idara nyeti serikali ? Mtoto wa balozi wa nchi? au mtoto wa mwenyekiti kitongoji?
 
Mi nkajua watoto wa Magogo kumbe vigogo tu ambavyo vyaweza kutumika ka kuni! Peleka hawa watu mbele ya sheria au wako juu ya sheria?
 
Mkuu Mwita Maranya,mzima weye?unakumbuka ahadi ya kutoa taarifa ya fukuzwa watoto wa walalahoi TANROADS instead ya watoto wa vigogo?twakusubiri mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ukiamini hili utaamini chochote utakachoambiwa. Walikuwa wapi wakati hao watoto wa vigogo wasio na sifa wakiajiriwa hadi leo wawafukuze?

Mkuu umenikumbusha kitabu kimoja cha hadithi cha James Hadley Chase nilisomaga miaka hiyo.. kina title kama hiyo kwenye nyekundu ila kwa kiingereza.. Maudhui ya mule yalihuciana na vijimambo vya kusadikika kiasi cha aliekuwa anajengewa zengwe akasema "Believe this u'll believe anything".. Tukiamini haya baci tutaamini chochote tutakachoambiwa..
 
Vipi kuhusu upande wa pili wa shilingi.,waliokiuka hizo taratibu za ajira na kuwaajiri hao watoto! I thought sheria ni msumeno!
 
SERIKALI imewafukuza kazi watoto wa vigogo waliopata ajira bila ya kufuata taratibu za kisheria katika mizani inayosimamiwa na Wakala wa Ujenzi wa Barabara(Tanroads).

Hata hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kudai kuwa, kuna baadhi ya watoto wa vigogo wamepata ajira kinyume na taratibu.

Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali kuu (PAC), Mkurugenzi Mkuu wa Tanroads, Mhandisi Patrick Mfugale alisema watoto hao waliajiriwa kimakosa.
Alisema watoto hao wametambuliwa na kwamba baadhi yao tayari wamechukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi huku wengine vyeti vyao vikiendelea kukaguliwa.

“Kuna baadhi ya wafanyakazi walikuwa wamepata ajira kinyume na taratibu, hii inatokana na kupata ajira kwa kujuana lakini suala hili tayari tumelifanyia kazi na baadhi yao tumewafukuza,” alisema Mhandisi Mfugale.

Alisema kutokana na hali hiyo, wataendelea kuhakiki vyeti vya wafanyakazi wote na kuhakikisha kuwa, wanatangaza ajira upya ili wenye vigezo waweze kupitishwa na wasiokuwa navyo waondolewe.

Alisema mkakati uliopo ni kuhakikisha kuwa, ajira zinazotolewa katika idara hiyo ni za muda mfupi, ili kuondoa mianya ya ajira za kujuana.

Aliwataka mameneja wote wa mikoa kufuata taratibu za kisheria katika kutoa ajira kwa wafanyakazi wapya.

Si watajwe kwa majina yao? isije kuwa ni changa la macho tu
 
Ukiwabana saaana utasikia......."mchakato unaendelea wakubaini majina na jinsi walivyojiunga na TanRoad, na tume itaundwa na mh. waziri ili kuchunguza hili sakata....."

Kibanga Msese
 
Watoto wa vigogo wanaozungumzwa hapa ni watoto wa mabalozi wa nyumba kumi tu hao. Waziri magufuli ana roho mbaya tu ya kuwaonea wivu watoto wa mabalozi. Inawezekana hawala yake amekosa nafasi hizo kwa sababu either hana qualification au amesomea maendeleo ya jamii au ya samaki
 
wamewaonea sana kuwafukuza sasa wataenda wapi wakaibeee bahati ya mwenzio uiilalie mlango wazi aliyepata kapata na aliyekosa kakosa warudishwe makazini wameonewa
 
SERIKALI imewafukuza kazi watoto wa vigogo waliopata ajira bila ya kufuata taratibu za kisheria katika mizani inayosimamiwa na Wakala wa Ujenzi wa Barabara(Tanroads).

Hata hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kudai kuwa, kuna baadhi ya watoto wa vigogo wamepata ajira kinyume na taratibu.

Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali kuu (PAC), Mkurugenzi Mkuu wa Tanroads, Mhandisi Patrick Mfugale alisema watoto hao waliajiriwa kimakosa.
Alisema watoto hao wametambuliwa na kwamba baadhi yao tayari wamechukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi huku wengine vyeti vyao vikiendelea kukaguliwa.

“Kuna baadhi ya wafanyakazi walikuwa wamepata ajira kinyume na taratibu, hii inatokana na kupata ajira kwa kujuana lakini suala hili tayari tumelifanyia kazi na baadhi yao tumewafukuza,” alisema Mhandisi Mfugale.

Alisema kutokana na hali hiyo, wataendelea kuhakiki vyeti vya wafanyakazi wote na kuhakikisha kuwa, wanatangaza ajira upya ili wenye vigezo waweze kupitishwa na wasiokuwa navyo waondolewe.

Alisema mkakati uliopo ni kuhakikisha kuwa, ajira zinazotolewa katika idara hiyo ni za muda mfupi, ili kuondoa mianya ya ajira za kujuana.

Aliwataka mameneja wote wa mikoa kufuata taratibu za kisheria katika kutoa ajira kwa wafanyakazi wapya.

Hivi kigogo ni yupi?
 
Cha kushangaza,wenye vyeti na elimu iliyobobea wanaambiwa "over qualified" halafu mnachukua watu wa barabarani then mnalalamika ooh wamegushi,so what do u want?????
Na pale wizara ya mambo ya nje mbona hawawagusi walogushi? Make hapo kuna uozo mwingi, na ajbu idara nyeti ka ile. Watu wanapangiwa kusafiri na wakubwa halafu wakiambiwa waandike report hawawezi, wanaanza kuhonga kuandikiwa report. Kuna mtu alipigwa dana dana pale kila idara anayowekwa bosi anamkataa vile hawezi kazi. Lakini pamoja na dana dana bado yuko hapo, ma-bosi wanaogopa ku-report vile kibarua chao kitaota majani, kisa kawekwa na mkubwa/kigogo
 
Back
Top Bottom