Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Imbombo ngafu!
Ngafu fijo wa kumyitu.
Imbombo ngafu!
Imbombo ngafu!
Hakuna wazazi wanaowaunga mkono hawa watoto?
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kawawa wakitembea kwa miguu wakati wakirudi kutoka ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ilala Boma jijini Dar es Salaam jana baada ya kuandamana kudai haki yao ya kupata elimu kufuatia mgomo wa walimu ulioanza kote nchini juzi.
Hii kali Mtoto wa mkuu Boflo anamchezea Simba sharubu ... kasheshe kweli...............Iga ufe..............
Kumbe Wanyama wetu wanatoroshwa na ndege ya kijeshi ya Qatar ahhh kasheshe kweli hii Serikali ya awamu ya 4 nchi hii imeuzwa kwa waarabu? Mkuu KaitampunuWatoto wa bongo wakiona leo wanaiga kesho, ila hii kwa sasa ni ngumu maana hao wanyama wetu siku hizi ni kutoroshwa hai huenda hata huyo kabebwa toka huku na dege la jeshi la Qatar!
Tahadhari, mkuu ukirudi huku naomba husirudi na hasira maana utagombana na wengi kwa hali ilivyo sasa.Kumbe Wanyama wetu wanatoroshwa na ndege ya kijeshi ya Qatar ahhh kasheshe kweli hii Serikali ya awamu ya 4 nchi hii imeuzwa kwa waarabu? Mkuu Kaitampunu
Ni kweli hapo ni china na huyo mtoto anafurahia kitoweo hawa wenzetu watu wa Bara la Asia hawachaguwi kitu kwao wao kila kitu ni chakula hata panya,mende,chura,mijusi,nge,wadudu wa aina yoyote ile unayoijuwa wewe huko Bara la Asia analiwa ahh mimi nimechoshwa na watu wa huko Bara la Asia hata wewe ukiwakalia vibaya wataweza kukuwa na kula nyama yako vipi mkuu Ramadhani imepanda?Mkuu njiwa?hao ndio wachina bana .. kila kitu kwao msosi .. itakuwa sikukuu dogo anafurahia kitoweo hapo
Mkuu nitarudi wkati hali itakapokuwa ni nzuriş siwezi kurudi eti bado umeme ni wa mgao maji pia ni ya mgao bora hata nisurudi kabisa sijazoea kulala giza unajuwa ukilala giza na huku mbuu wanakutafuna na hujuwi kuna kitu gani panya au nyoka au nge? mimi siwezi kulala huku nina wasiwasi nikirudi huko kwa sasa naweza kupata uchizi ninasikia hali ni ngumu zaidi kila kukicha?Mkuu hebu nipe Detail za huko?Mkuu KaitampunuTahadhari, mkuu ukirudi huku naomba husirudi na hasira maana utagombana na wengi kwa hali ilivyo sasa.
Ni kweli hapo ni china na huyo mtoto anafurahia kitoweo hawa wenzetu watu wa Bara la Asia hawachaguwi kitu kwao wao kila kitu ni chakula hata panya,mende,chura,mijusi,nge,wadudu wa aina yoyote ile unayoijuwa wewe huko Bara la Asia analiwa ahh mimi nimechoshwa na watu wa huko Bara la Asia hata wewe ukiwakalia vibaya wataweza kukuwa na kula nyama yako vipi mkuu Ramadhani imepanda?Mkuu njiwa?
Ha ha ha haaaah!! Kweli kabisa MziziMkavu huenda nyoka wao si wakali sana kama wetu.....Huyu anaonyesha ni nyoka wa plastiki sio kama nyoka wa africa nyoka wa Asia unaweza kucheza nae aje kuchezea nyoka wa Africa kama vile Cobra aone ukali wake Mkuu Katavi