Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Nimesoma thread ya Mwendapole https://www.jamiiforums.com/mahusia...hi-kitu-kinaweza-kutokea-soma-kisha-hiki.html nikaona tuzungumze jambo hili. Nitaanza na mfano wangu mwenyewe.
Uhusiano wangu na wife uliharibika wakati fulani alipotoka nje ya ndoa. Sikumfukuza na yupo hadi leo. Namshukuru Mungu majibu yangu yapo gado sijapata maambukiizi. Pamoja na kwamba nikikumbuka roho huniuma sana lakini mimi napenda watoto, na ndio hedge iliyofanya ndoa yetu isisambaratike wakati ule japo baadae inaweza kuishia kwenye rocks. You never know with women.
Sasa tatizo langu jpya ni hili. Mimi nataka wife azae mtoto mwingine .Yeye anapiga chenga na nahisi ametumia njia ya uzazi wa mpango bila mie kujua . Muda umepita na nisingependa kuwa na kitoto kichanga wakati nimeshakuwa too old for that.
What do I do now? Should I get a nyumba ndogo for that reason . should I revive my anger , and get her out of face for good ? should I keep calm as I did before?
Mchangiaji anaweza kusema hatujazungumza . Mind you tumezungumza sana naye hakatai wala hakubali. Na time inakwenda. Tuchangie tafadhali.
Uhusiano wangu na wife uliharibika wakati fulani alipotoka nje ya ndoa. Sikumfukuza na yupo hadi leo. Namshukuru Mungu majibu yangu yapo gado sijapata maambukiizi. Pamoja na kwamba nikikumbuka roho huniuma sana lakini mimi napenda watoto, na ndio hedge iliyofanya ndoa yetu isisambaratike wakati ule japo baadae inaweza kuishia kwenye rocks. You never know with women.
Sasa tatizo langu jpya ni hili. Mimi nataka wife azae mtoto mwingine .Yeye anapiga chenga na nahisi ametumia njia ya uzazi wa mpango bila mie kujua . Muda umepita na nisingependa kuwa na kitoto kichanga wakati nimeshakuwa too old for that.
What do I do now? Should I get a nyumba ndogo for that reason . should I revive my anger , and get her out of face for good ? should I keep calm as I did before?
Mchangiaji anaweza kusema hatujazungumza . Mind you tumezungumza sana naye hakatai wala hakubali. Na time inakwenda. Tuchangie tafadhali.