Jenerali mstaafu Yair Golan asema hawawezi kuwafuata Hamas ndani ya mahandaki. Nyumba ya Netanyahu yazingirwa na waandamanaji

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
Mambo yanazidi kuchukua sura mpya ambayo haikutarajiwa katika vita vinavyoendelea Gaza.

Kwanza general mtaafu wa jeshi la IDF aliyepewa kazi kuongoza kikosi cha wastaafu wenzake,Yair Golan amesema vikosi vya IDF visije vikajaribu kuwafuata wapiganaji wa Hamas kwenye mashimo yao. Huo ni mtego mbaya kwani Hamas wamekaa wanasubiri.

1699249154145.png

============

Former deputy IDF chief of staff Yair Golan says that “under no circumstances” should or will IDF soldiers enter Hamas’s terror tunnels, as the army broadens its ground operation to destroy Hamas’s military capabilities.

In an interview with Army Radio, the reserves general says, “You don’t need to go into the tunnels” and “it would be a grave mistake to enter the tunnels” where Hamas is hiding out and waiting.

“The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.

“Under no circumstances do you fight in the tunnels… where there is no chance that you won’t get hurt. You don’t fight inside the tunnels, you counter the threat of the tunnels,” he says.

When it is put to him that Hamas is capable of remaining inside its vast underground tunnel network “forever,” Golan says: “Take my word for it. The IDF has the capabilities today to deal effectively with the tunnels. It has all the knowledge and the means. If Hamas stays in the tunnels, they will become a death trap.”

Golan, who headed south on October 7 and joined in the fighting against the terrorists rampaging across the western Negev, elaborated: “The moment that we get to the tunnels, or regarding the tunnels we’ve already reached, they become a death trap for the enemy. From the moment the entrances are found, the full advantage is with the attacking forces.”

Asked whether the IDF would have to enter Shifa Hospital to expose and deal with the tunnel entrances there, Golan said he did not know how the fighting would play out. And he stressed the two imperatives of battling Hamas and freeing the hostages.

Asked whether he would favor a deal whereby the hostages are freed in return for the Hamas leadership being given safe passage to Iran, Syria or elsewhere, Golan said: “If only. If we can get to a situation where the Hamas leaders sail away and our hostages are freed, that would be almost too good to be true.”

He stressed that “nobody knows what is realistic” in terms of any such deal. But he adds: “Are we ready to pay a heavy price for the release of the hostages? The answer is yes.”

When he is asked about US President Joe Biden’s support for a pause in Israel’s offensive to enable the release of the hostages, Golan says, “Anything that enables the speedy release of the hostages would be blessed,” but he doesn’t think it will be that simple. He notes that Hamas is not the only force holding hostages. So, too, are other terror groups and clans, he says.

Source: The Times of Israel

============

Huko Tel Aviv kundi la waandamanaji hapo juzi waliizingira nyumba ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu.Miongoni mwa waandamanaji hao ni wale wanaopinga vita vya kuangamiza watu na wengine ni wale waliokuwa wakidai ndugu zao waliotekwa na kuahidiwa kurudishiwa mapema iwezekanavyo.

------------

ERUSALEM, Nov 4 (Reuters) - Police held back protesters outside the residence of Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu on Saturday, amid widespread anger at the failures that led to last month's deadly attack by Hamas gunmen on communities around the Gaza Strip.

Waving blue and white Israeli flags and chanting "Jail now!", a crowd in the hundreds pushed through police barriers around Netanyahu's residence in Jerusalem.

The protest, which coincided with a poll showing more than three quarters of Israelis believe Netanyahu should resign, underlined the growing public fury at their political and security leaders.

Netanyahu has so far not accepted personal responsibility for the failures that allowed the surprise assault which saw hundreds of Hamas gunmen storm into southern Israel on Oct. 7, killing more than 1,400 people and taking at least 240 hostage.

As the initial shock has faded, public anger has grown, with many families of the hostages held in Gaza bitterly critical of the government response and calling for their relatives to be brought home.

In Tel Aviv, thousands demonstrated, waving flags and holding photographs of some of the captives in Gaza and posters with slogans like "Release the hostages now at all costs" while crowds chanted, "bring them home now".

Ofri Bibas-Levy, whose brother, along with his four-year-old son Ariel and 10-month-old son Kfir were taken hostage by Hamas, told Reuters that she came to show support for her family.

"We don't know where they are, we don't know what condition they are kept in. I don't know if Kfir is getting food, I don't know if Ariel is getting enough food. He is a very small baby," said Bibas-Levy.

Since the attack, Israel has launched an intense air and ground offensive in Gaza, killing more than 9,000 people, health authorities in the Hamas-run area say, and reducing large areas of the enclave to rubble.

Even before the war, Netanyahu had been a divisive figure, fighting corruption charges, which he denies, and pushing through a plan to curb the powers of the judiciary that brought hundreds of thousands to the streets to protest.

On Saturday, a poll for Israel's Channel 13 Television found 76% of Israelis thought Netanyahu, now serving a record sixth term as prime minister, should resign and 64% saying the country should hold an election immediately after the war.

When asked who is most at fault for the attack, 44% of Israelis blamed Netanyahu, while 33% blamed the military chief of staff and senior IDF officials and 5% blamed the Defense Minister, according to the poll.

Source: Reuters
 
Ndo umeandika nini sasa!? Kwamba kutowafata Hamas mashimoni ndo stori!?
Wanaume wanajiachia kwenye ardhi ya Gaza huku wenyeji wakiwa mashimoni, mpaka hapo huo ni ushindi tayari.
Waingie tu humo mashimoni.
 
Kweli ndo maana wafrika tunaibiwa, Kwa hiyo general wa kuongoza vita ndo atoe na kuanika Siri zote na mikakati Yao vita kwenye media, kumbuka kipindi Cha vita ukiambiwa hatushambulie ujue wanashambulia, ukiambiwa tunashambulia ujue hawashambulie, harafu kwa akili yako huyo Mzee mstafu ndo aingie kwenye mahandaki na kupambana na magaidi? Hawa hata front hawaingii kupigana, KAZI Yao ni kushauli na kupanga mikakati na kuwaambia vijana wa IDF faya hiki, hiki usifanye. Unaona hapo ana siraha, hizo ni kwa ajili ya ulinzi ikitokea emergency.
 
Kweli ndo maana wafrika tunaibiwa, Kwa hiyo general wa kuongoza vita ndo atoe na kuanika Siri zote na mikakati Yao vita kwenye media, kumbuka kipindi Cha vita ukiambiwa hatushambulie ujue wanashambulia, ukiambiwa tunashambulia ujue hawashambulie, harafu kwa akili yako huyo Mzee mstafu ndo aingie kwenye mahandaki na kupambana na magaidi? Hawa hata front hawaingii kupigana, KAZI Yao ni kushauli na kupanga mikakati na kuwaambia vijana wa IDF faya hiki, hiki usifanye. Unaona hapo ana siraha, hizo ni kwa ajili ya ulinzi ikitokea emergency.
In times of war, a lie travels faster than the truth.
 
Mbona makala inajieleza vizuri, ila wewe unapotosha? Acheni propaganda basi..

IDF Soldiers won’t enter the tunnels, will turn them into Hamas death traps without going in..​

Tafsiri yangu isiyo rasmi (apologies for any errors):
(Askari wa iDF hawataingia mashimoni, ila watayageuza kuwa mitego ya mauaji kwa Hamas bila wao kuingia humo)

“The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.

(Busara ni kutafuta malango na kuyaziba, au kuingiza moshi ili maadui watoke au waumie...)

“Take my word for it. The IDF has the capabilities today to deal effectively with the tunnels. It has all the knowledge and the means. If Hamas stays in the tunnels, they will become a death trap.”

(Zingatia maneno yangu, iDF wana uwezo wa kushughulika kikamilifu na hayo mahandaki. Wana ufahamu wote na vitendea kazi. Kama Hamas wakiendelea kukaa ndani ya mahandaki, yatakuwa mitego yao ya kifo..)
 
Mwezi mmoja unakatika,nikiangalia uwezo wa Israel kivita kwenye makaratasi,nikiangalia na uwezo wa Hamas nachoka.
IDF wakiwa wanajiandaa na ground operation Pro Hamas wa JF story yao ilikuwa IDF ni waoga sana awawezi thubutu kuingia Gaza.IDF wakaizingira Gaza City story ya Pro Hamas ikawa 'wanaranda randa tu km kadhaa nnje ya Gaza hawana jeuri ya kuisogelea Gaza.Sasa hivi IDF wapo Gaza tunasubiri version nyingine ya Pro Hamas wa JF.
 
Naona umekimbizwa na kichwa cha habari na kukimbilia kuweka post.
Unasema Mambo yamezidi kuchukua sura mpya, ni Kwa kudhani Majeshi yameshindwa Cha kufanya?

Hapo hapo kwenye bandiko lako general ameongeza yafuatayo:

"The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.
 
Mbona makala inajieleza vizuri, ila wewe unapotosha? Acheni propaganda basi..

IDF Soldiers won’t enter the tunnels, will turn them into Hamas death traps without going in..​

Tafsiri yangu isiyo rasmi (apologies for any errors):
(Askari wa iDF hawataingia mashimoni, ila watayageuza kuwa mitego ya mauaji kwa Hamas bila wao kuingia humo)

“The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.

(Busara ni kutafuta malango na kuyaziba, au kuingiza moshi ili maadui watoke au waumie...)

“Take my word for it. The IDF has the capabilities today to deal effectively with the tunnels. It has all the knowledge and the means. If Hamas stays in the tunnels, they will become a death trap.”

(Zingatia maneno yangu, iDF wana uwezo wa kushughulika kikamilifu na hayo mahandaki. Wana ufahamu wote na vitendea kazi. Kama Hamas wakiendelea kukaa ndani ya mahandaki, yatakuwa mitego yao ya kifo..)
Kwa tafsiri yako umeona kuwa wataingia au hawataingia.
Mimi sio mkalimani.Nilikuwa nasema kama nilivyofahamu na wewe umesema hivyo hivyo
 
IDF wakiwa wanajiandaa na ground operation Pro Hamas wa JF story yao ilikuwa IDF ni waoga sana awawezi thubutu kuingia Gaza.IDF wakaizingira Gaza City story ya Pro Hamas ikawa 'wanaranda randa tu km kadhaa nnje ya Gaza hawana jeuri ya kuisogelea Gaza.Sasa hivi IDF wapo Gaza tunasubiri version nyingine ya Pro Hamas wa JF.
Una hakika wapo Gaza?

Facebook sio chanzo sahihi Cha taarifa zako.
 
Mambo yanazidi kuchukua sura mpya ambayo haikutarajiwa katika vita vinavyoendelea Gaza.

Kwanza general mtaafu wa jeshi la IDF aliyepewa kazi kuongoza kikosi cha wastaafu wenzake,Yair Golan amesema vikosi vya IDF visije vikajaribu kuwafuata wapiganaji wa Hamas kwenye mashimo yao. Huo ni mtego mbaya kwani Hamas wamekaa wanasubiri.


============

Former deputy IDF chief of staff Yair Golan says that “under no circumstances” should or will IDF soldiers enter Hamas’s terror tunnels, as the army broadens its ground operation to destroy Hamas’s military capabilities.

In an interview with Army Radio, the reserves general says, “You don’t need to go into the tunnels” and “it would be a grave mistake to enter the tunnels” where Hamas is hiding out and waiting.

“The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.

“Under no circumstances do you fight in the tunnels… where there is no chance that you won’t get hurt. You don’t fight inside the tunnels, you counter the threat of the tunnels,” he says.

When it is put to him that Hamas is capable of remaining inside its vast underground tunnel network “forever,” Golan says: “Take my word for it. The IDF has the capabilities today to deal effectively with the tunnels. It has all the knowledge and the means. If Hamas stays in the tunnels, they will become a death trap.”

Golan, who headed south on October 7 and joined in the fighting against the terrorists rampaging across the western Negev, elaborated: “The moment that we get to the tunnels, or regarding the tunnels we’ve already reached, they become a death trap for the enemy. From the moment the entrances are found, the full advantage is with the attacking forces.”

Asked whether the IDF would have to enter Shifa Hospital to expose and deal with the tunnel entrances there, Golan said he did not know how the fighting would play out. And he stressed the two imperatives of battling Hamas and freeing the hostages.

Asked whether he would favor a deal whereby the hostages are freed in return for the Hamas leadership being given safe passage to Iran, Syria or elsewhere, Golan said: “If only. If we can get to a situation where the Hamas leaders sail away and our hostages are freed, that would be almost too good to be true.”

He stressed that “nobody knows what is realistic” in terms of any such deal. But he adds: “Are we ready to pay a heavy price for the release of the hostages? The answer is yes.”

When he is asked about US President Joe Biden’s support for a pause in Israel’s offensive to enable the release of the hostages, Golan says, “Anything that enables the speedy release of the hostages would be blessed,” but he doesn’t think it will be that simple. He notes that Hamas is not the only force holding hostages. So, too, are other terror groups and clans, he says.

Source: The Times of Israel

============

Huko Tel Aviv kundi la waandamanaji hapo juzi waliizingira nyumba ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu.Miongoni mwa waandamanaji hao ni wale wanaopinga vita vya kuangamiza watu na wengine ni wale waliokuwa wakidai ndugu zao waliotekwa na kuahidiwa kurudishiwa mapema iwezekanavyo.

------------

ERUSALEM, Nov 4 (Reuters) - Police held back protesters outside the residence of Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu on Saturday, amid widespread anger at the failures that led to last month's deadly attack by Hamas gunmen on communities around the Gaza Strip.

Waving blue and white Israeli flags and chanting "Jail now!", a crowd in the hundreds pushed through police barriers around Netanyahu's residence in Jerusalem.

The protest, which coincided with a poll showing more than three quarters of Israelis believe Netanyahu should resign, underlined the growing public fury at their political and security leaders.

Netanyahu has so far not accepted personal responsibility for the failures that allowed the surprise assault which saw hundreds of Hamas gunmen storm into southern Israel on Oct. 7, killing more than 1,400 people and taking at least 240 hostage.

As the initial shock has faded, public anger has grown, with many families of the hostages held in Gaza bitterly critical of the government response and calling for their relatives to be brought home.

In Tel Aviv, thousands demonstrated, waving flags and holding photographs of some of the captives in Gaza and posters with slogans like "Release the hostages now at all costs" while crowds chanted, "bring them home now".

Ofri Bibas-Levy, whose brother, along with his four-year-old son Ariel and 10-month-old son Kfir were taken hostage by Hamas, told Reuters that she came to show support for her family.

"We don't know where they are, we don't know what condition they are kept in. I don't know if Kfir is getting food, I don't know if Ariel is getting enough food. He is a very small baby," said Bibas-Levy.

Since the attack, Israel has launched an intense air and ground offensive in Gaza, killing more than 9,000 people, health authorities in the Hamas-run area say, and reducing large areas of the enclave to rubble.

Even before the war, Netanyahu had been a divisive figure, fighting corruption charges, which he denies, and pushing through a plan to curb the powers of the judiciary that brought hundreds of thousands to the streets to protest.

On Saturday, a poll for Israel's Channel 13 Television found 76% of Israelis thought Netanyahu, now serving a record sixth term as prime minister, should resign and 64% saying the country should hold an election immediately after the war.

When asked who is most at fault for the attack, 44% of Israelis blamed Netanyahu, while 33% blamed the military chief of staff and senior IDF officials and 5% blamed the Defense Minister, according to the poll.

Source: Reuters
Unapenda sana kuandika kishabiki huko watu wa Gaza wakiendelea kupata taabu.
Huyo Gen ameongea kuhusu mbinu zinazofaa kuwa maliza Hamas.
Kama umeshamzungira unaingia mashimoni kutafuta nini? Unamsubiri tu juu ya ardhi, ama kwa njaa au kwa kuumwa au kiu atatoka tu,ama afa
 
Mbona makala inajieleza vizuri, ila wewe unapotosha? Acheni propaganda basi..

IDF Soldiers won’t enter the tunnels, will turn them into Hamas death traps without going in..​

Tafsiri yangu isiyo rasmi (apologies for any errors):
(Askari wa iDF hawataingia mashimoni, ila watayageuza kuwa mitego ya mauaji kwa Hamas bila wao kuingia humo)

“The wisdom is to find the entrances and seal them, or send in smoke that will cause the enemy to come out or will harm him,” says Golan.

(Busara ni kutafuta malango na kuyaziba, au kuingiza moshi ili maadui watoke au waumie...)

“Take my word for it. The IDF has the capabilities today to deal effectively with the tunnels. It has all the knowledge and the means. If Hamas stays in the tunnels, they will become a death trap.”

(Zingatia maneno yangu, iDF wana uwezo wa kushughulika kikamilifu na hayo mahandaki. Wana ufahamu wote na vitendea kazi. Kama Hamas wakiendelea kukaa ndani ya mahandaki, yatakuwa mitego yao ya kifo..)
Nadhan Bi Mkubwa anapaswa kuwapa angalizo hao waisrael kuhusu usalama wa wabongo ambao wamechukuliwa mateka na hao hamas
 
Una hakika wapo Gaza?

Facebook sio chanzo sahihi Cha taarifa zako.
Mkitumiaga JF mnajikutaga matawi ya juu na kuwadharau watumiaji wa Facebook.Haya ndugu hebu tujuze wewe kutokana na Intel Info zako kutoka kwa Credible sources ndani ya IDF,wako wapi kwa sasa?
 
Back
Top Bottom