Hili liko wazi kuwa wale watia nia za ubunge ambao walihadiwa vyeo na mamvi sasa wajiandae kwani ni wazi watachinjiwa baharini.
Serukamba yeye alikabidhi jimbo mapema kabisa, ngoja tuone kama aliowakabidhi watafurukuta baada ya pesa ya lowasa kukauka.Uyasemayo yana ukweli fulani ndani yake...
Unamkumbumba yule mama Balozi Amina alivokoswa umakamu baada ya kushindwa kuzuia mahaba yake kwa Lowassa..??
kama aliweza kumchinja boss wao lowassa haito kuwa shida kuwachinja vijakazi wake pia tena mmemvunjia heshima kwa vijimbo vyenu wakati anaingia ukumbini sasa yeye ndo mwenyekiti mpaka rais mpya apatikane na ukitaka kujua jamaa mafia hata top 5 kulikuwa akuna mtu wa lowasa
Hili liko wazi kuwa wale watia nia za ubunge ambao walihadiwa vyeo na mamvi sasa wajiandae kwani ni wazi watachinjiwa baharini.