Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,896
Mungu peke yake ndiye anajua uliko....nakuombea.Mkuu Pasco ,
Sikubaliani na wewe Dikteta(Uchwara) kumpa hadhi ya Dikteta(Mzalendo)
Tuanzie hapo tu kwanza hayo mengine tutawekana sawa
Ila nimecheka sana kwa jinsi ulivyopanga mtiririko huu
Pasco mtetezi wa haki za binadamu ninayemfahamu na kumwamini sana ni Jamii Forum family, hapa ndipo kuna utetezi wa kweli.