wateja elfu 5 wahama AIRTEL ONYOOOO

mi nimehama rasmi jana,nishavuta line yangu ya zantel nakula net,acha wabaki na internet yao,soko huria bana!nawasihi na nyie muhame ili wapate somo

mkuuu bei za zantel nipe nije huko ina speed?
 
nahamia kwenye bajaj leo leo....khaaaa.....jana tu nimeongeza salio saa hizi nataka kuingia JF nakuta nehi.....wameuzi sana....wangetuambia kabla tukajipanga.....
 
Wabongo kwa kuaga hawajambo ila kuondoka ziiiii..... Wahindi wanakula vichwa tu
 
nasubiria MB zangu ziishe, nakirudia kibajaji changu hata hivyo nimekimisi siku nyingi saaana.
 
nasubiria MB zangu ziishe, nakirudia kibajaji changu hata hivyo nimekimisi siku nyingi saaana.

Wakuu wa nchi wamegundua wananchi wanaotumia mtandao wanapata habari nyingi na hivyo wanaanza kuwa werevu na hivyo kuulizia vipande vyao vya ile keki ya Taifa.Hapa wanataka kutupunguza kasi kiaina.
 
Wamenikera!bundle yangu imeisha jana,then kujiunga upya wanaleta mambo ya ajabu,to hell airtel!embu rudishen huduma,unless nachapa mwendo fasta!Tujuzeni uph wenye gharama nafuu kwa intenet?
 
HUDUMA YA VODACOM WILAYANI KIBONDO NI KICHEFUCHEFU

Hi Nyongeza kwa habari hiyo ya Airtel. Vodacom sasa wanakosa mwelekeo kwani huduma zao zimekuwa zikisuasua sana kwa zaidi ya miezi miwili sasa.

Mimi kama mteja nimejitahidi kwa kiasi kikubwa kabisa kutoa taarifa kupitia namba 15366 ambayo mteja analipia kuweza kuongea na huduma kwa wateja lakini majibu yao yamekuwa stereo type kind of answer wanaibishwa kama kasuku. Naomba Vodacom mtambue kuwa mnaongea na wateja ambao ni weledi kuliko mlivyo ninyi, wengine ni professional kabisa kwenye telecom kuanzia Engineering Point of View mpaka Customer care tunajua haki zetu.

Ninawaomba rekebisheni kasoro zenu vinginevyo tutaanza kuburuzana kwenye TCRA CCC, kwani huduma zenu hazikidhi viwango vinavyo hitajika katika mawasiliano(Poor quality of Serice as well as Poor Customer care).

Haiwezekani kabisa wilaya nzima kukosa mawasiliano kwa siku tatu tangu tarehe 27 February 2012 saa nane mchana hadi Jana tarehe 2 Marchi 2012 saa 11 Jioni ndo mawasiliano yanarejeshwa.

Hii ni Aibu kwa kampuni kubwa kama Vodacom, It appears even the network monitoring system is not working properly as it has to monitor the Transmission Backbone network as well as the BTS on 24/7 basis and when there is something wrong the it has to give alarm that the network is faulty somewhere, but this is not the case it is only the customers through private initiative did alert some friend in DSM for them to report fault on behalf, Please take proactive measure such that the same won't happen.

Selestine
 
Airtel kampuni inaheshimika ila kwa siku mbili wameanza kuzingua internet.
kwanza huduma ya 2500 ya net wamefunga hii imepelekea wateja elfu tano kuhama kwa siku je wiki
pili siku nzima internet yenunazingua hebu fanyani mambo
onyoo mkishindwa kutupa huduma nzuri tutahama na tutaenda TCRA
Airtel vs Vodacom, SBL Vs TBL haa dar kuna mashindano! i like that, nani mbabe zaidi?
 
ebwana eh! kitu izy net y a Zantel ni balaa. mi nilishaamia zantel toka jana na spidi yao ni nzuri sana.
 
mi nimehama rasmi jana,nishavuta line yangu ya zantel nakula net,acha wabaki na internet yao,soko huria bana!nawasihi na nyie muhame ili wapate somo

Mkuu hebu nipe data wanacharge vipi hawa. Vipi mwenye taarifa za voda naye atupe maujanja
 
Back
Top Bottom