ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,373
- 851
hawa hawajui wafanyalo!
Yupo bwana wa majeshi anayetawala na ataendelea kuwepo.
Na hakika alimtuma mwana wake wa pekee hapa ulimwenguni kusudi yule mtu yeyote atakayemwamini naye atakuwa ameokoka na yule asimwamini huyo atakuwa ndugu na hao wanaojiita freemason.
Njia pekee ya haki na kweli ni kubaki ktk imani ya ukweli ya kwmb hakika yupo mungu anayeishi na ataendelea kuishi. Na tofauti na hapo hakika utakuwa mwana wa hao freemason.
Fanya uchaguzi mapema ndg yangu!
ameniiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!