Watawala wa Tanzania wana akili kuwazidi Watanzania wote?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,978
6,747
Nauliza hivyo kutokana na kadhia za Muungano. Ingawa manung'uniko yamekuweko tokea mwanzo wa Muungano, watawala wekuwa kama vile wameziba masikio! Hawaambiliki, hawasikiki wala kushaurika.

~Wasomi wameshauri lakini wakapuuzwa

~ Wanasiasa wamepiga kelele lakini nao wakapuuzwa

~ Wananchi wamenung'unika tokea mwaka 1964 hadi sasa lakini bado matakea yao hayajatimizwa.

Ikiwa wasomi hawautaki, wanasiasa hawautaki, na wananchi hawautaki, huu Muungano upo kwa manufaa ya nani?

Angali:
1. Tume ya Jaji Kisanga, Nyalali, na Warioba zote zilipendekeza mfumo wa Serikali tatu

2. Wasomi wa Sheria toka Vyuo mbalimbali nchini wamelielezea hilo kitaalam lakini Serikali imeendelea kuweka pamba masikioni

3. Hata viongozi wa dini wameshaupinga muundo wa sasa wa Muungano lakini nao wamepuuzwa

4. Wazanzibari hawautaki, kadhalika na Watanganyika

5. Kama Wazanzibar wameukataa, Watanganyika wameukataa, viongozi wa dini wameukataa, wasomi wameukataa, watawala wanaamini wao ni waelewa kuwazidi Watanzania wote?
 

Attachments

  • Tundu_Lissu_asema_ukweli_mchungu_wa_Muungano_wetu(144p).mp4
    11.6 MB
  • Tundu_Lissu_alivyo_fyatuka_Bunge_la_Katiba(144p).mp4
    7.7 MB
  • KAKOBE__Mtu_anayeitaka_Tanganyika_ana_Mungu_ndani_yake(144p).mp4
    8.9 MB
  • Mwanasheria_Mkuu_Zanzibar_aibuka_BMK,_apiga_kura_kukataa_Ibara_muhimu_Katiba_inayopendekezwa(1...mp4
    7 MB
  • Othman_Masoud_aeleza_jinsi_Muungano_unavyoibana_Zanzibar(144p).mp4
    8 MB
  • Othman_Masoud_asema_kwa_Muungano_huu,_Zanzibar_imegeuzwa_koloni(144p).mp4
    4.1 MB
  • __Wazanzibari_39,999___yataka_muungano_uvunjwe(144p).mp4
    1.8 MB
Sio kwamba wana akili bali ni wabinafsi, kwa vile wao wana maslahi nao hawajali kero ambazo Wananchi wanalalamikia.

Inawezekana kuna sababu za msingi ambazo sisi kama raia hatuzijui na viongozi kwa makusudi au kwa usiri wa kiusalama hatupaswi kujua.
 
Kupata uongozi sometimes ni zari tu wala havihusiani na akili.
Mfano Sa100, mie naamini kuna watz kama milioni 1 hv wamemzidi akili tena kwa mbali ila hawajawa Rais na wala hawatakuwa!.
Bungeni ndio bongolala wakutosha wamo ila ndio viongozi wetu hao wanaotutungia sheria!!.
 
Watanzania ni maiti zinazotembea. Wangekuwa hai wasingekubali ujinga huu.
Si maiti, ingawa inasemekana ni waoga sana!
 

Attachments

  • MWAL__NYERERE_-_RAIS_USIWE_MPOLE_SANA_USIENDEKEZE_WALA_KUPUUZA_MAMBO_YA_DINI(144p).mp4
    25.1 MB
Nauliza hivyo kutokana na kadhia za Muungano. Ingawa manung'uniko yamekuweko tokea mwanzo wa Muungano, watawala wekuwa kama vile wameziba masikio! Hawaambiliki, hawasikiki wala kushaurika.

~Wasomi wameshauri lakini wakapuuzwa

~ Wanasiasa wamepiga kelele lakini nao wakapuuzwa

~ Wananchi wamenung'unika tokea mwaka 1964 hadi sasa lakini bado matakea yao hayajatimizwa.

Ikiwa wasomi hawautaki, wanasiasa hawautaki, na wananchi hawautaki, huu Muungano upo kwa manufaa ya nani?

Angali:
1. Tume ya Jaji Kisanga, Nyalali, na Warioba zote zilipendekeza mfumo wa Serikali tatu

2. Wasomi wa Sheria toka Vyuo mbalimbali nchini wamelielezea hilo kitaalam lakini Serikali imeendelea kuweka pamba masikioni

3. Hata viongozi wa dini wameshaupinga muundo wa sasa wa Muungano lakini nao wamepuuzwa

4. Wazanzibari hawautaki, kadhalika na Watanganyika

5. Kama Wazanzibar wameukataa, Watanganyika wameukataa, viongozi wa dini wameukataa, wasomi wameukataa, watawala wanaamini wao ni waelewa kuwazidi Watanzania wote?
Katiba ya Warioba Irudi- ndio wananchi wanachotaka ( Walihojiwa, wakachujwa na wakasema wanacho kitaka). Kinyume na hapo, wanasubiri yale ya kutunguliwa angani kama yule mtawala wa Romania kwa mujibu wa Prof. Kabudi hapa:
View: https://youtu.be/vVrd__CvSkk?si=00JHmimUXsWFNb58
 
Back
Top Bottom