The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
My bank has issued me with credit facility so you can see me if you need any help lol...haya bana, niwie radhi. Mkono umeteleza!
...indoors bro! Debit na Credit cards zangu zinakuwa more safe kwenye friji!
temptations nyingi huko nje, LOL...
:focus:
...mtu akikutenda namna hii, halafu baada ya siku mbili tatu kinawaka huko kwenye ndoa yake utamuona mbio anakujia
'a shoulder to cry on!' Kazi kwako ukiamua kuwa 'Doormat' lake!
Anyway, tunashauriwa kuwaombea mungu huko waendako.
Jipe moyo..."Kila likuepukalo,....!"