Watanzania wenzangu, hili linawezekanaje?

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo).

Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga.

Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
Tatizo ni Nyota (*)
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
Hiyo ni sehemu ya safari,asikate tamaa.Yeye anataka mteremko tu labda awe shoga
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
Rafiki yako au wewe mwenyewe unataka kujiua
 
Labda destine yake sio kuajiriwa. Amesomea nini? Kwanini asianzishe mradi/biashara na aje kuajiri wengine yeye? Tatizo tulilonalo ni kufikiri kila anayemaliza chuo anatakiwa kuajiriwa, sasa sijui nani atatengeneza ajira ikiwa wote tunataka kuajiriwa. Mwambie atumie taaluma aliyoipata kuanzisha mradi/miradi.
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
we vipi bwana wewe,
Watu tumetafuta kazi unatuma barua zaidi ya MIA unaitwa Interview 3 halafu unapata kazi moja, we barua 20 tu unalalamika.
Usikate tamaa bana,
Fanya kukaza buti,
isipokuwa Alwayz Edit your CV to reflect the post.
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.


Tatizo Siku hizi wataalamu wenye sina hizo wengi na wengine wanasifa zaidi. Awe na subira. Siku ikifika atapata ajira.
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
yani Bora use MJasiliaMali ukwepe den la Mkopp,,!
 
Mbona hii series siielewi ,juzi umemsafirisha mkeo na mtoto,baada ya hapo ukataka kujiua mwana jamii forum akakutumia pesa laki moja ukahairisha safari kwenda sijui kwa ndugu yako gani kitunda kama sijakosea ,ukaletwa uzi na mwana jamii forum mwingine kwamba ni kweli unataka kujiua amekukuta umenunua madawa kibao akaweka namba zako utumiwe hata buku kwani hali yako ni mbaya,Leo unakuja na mada ni rafiki yako anataka kujiua sio wewe tena ,ushauri upi unaotaka ?? Hizo nyuzi zote ulizoanzisha ulishauriwa vyema ,huo ushauri umefanyia nini ??? Excuse inakua ni kutaka tu kujiua ,Mzee kama vipi jitundike tu
 
Mbona hii series siielewi ,juzi umemsafirisha mkeo na mtoto,baada ya hapo ukataka kujiua mwana jamii forum akakutumia pesa laki moja ukahairisha safari kwenda sijui kwa ndugu yako gani kitunda kama sijakosea ,ukaletwa uzi na mwana jamii forum mwingine kwamba ni kweli unataka kujiua amekukuta umenunua madawa kibao akaweka namba zako utumiwe hata buku kwani hali yako ni mbaya,Leo unakuja na mada ni rafiki yako anataka kujiua sio wewe tena ,ushauri upi unaotaka ?? Hizo nyuzi zote ulizoanzisha ulishauriwa vyema ,huo ushauri umefanyia nini ??? Excuse inakua ni kutaka tu kujiua ,Mzee kama vipi jitundike tu
MKUU HII THREAD NI YA ZAMANI SANA. WATU WANACHAMBUA THREAD ZANGU, IN RESULT ZINAKUWA ON TOP, SO NDO MAANA UNAONA NI KAMA NIMEIPOST SASAHIVI. THANKS
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
Ana uhakika gani kama hizo interview huwa ana "pasi?" Kufanya interview nyingi na kutokupata kazi haina direct maana eti kuwa unaonewa,ajitafakari wapi anakosea? Au aombe feedback ya interview zake ili ajue wapi anakosea ili abadilike,kujiua sio solution,matatizo hayakimbiwi bali hukabiliwa.
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo). Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga. Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.

rafiki,

yaan kama una elimu vizuri na other qualities hata kama baada ya miaka 2, kazi utapata tu ila kua mvumilivu. hyo uliyoacha na unazokosa si nzuri kwako. pole sana kwa kipindi hicho kigumu rafiki ila naamin utapata kazi nzuri inayoenda na ww na utasahau maumivu haya
 
MKUU HII THREAD NI YA ZAMANI SANA. WATU WANACHAMBUA THREAD ZANGU, IN RESULT ZINAKUWA ON TOP, SO NDO MAANA UNAONA NI KAMA NIMEIPOST SASAHIVI. THANKS
Hii thread ya leo mbichi kabisaaa we unatuambia ya zamani we chalii naje asee!
 
Yaani una elimu ya chuo, vyeti ni safi, uzoefu wa kazi unao, viambatanisho vyote atakavyotaka next employer unavyo, sample za kazi zako unazo...(ingawa huna mtu wa kukushika mkono au hongo).

Una apply kazi karibu 20, unaitwa 5 kwenye interview, kisha hupigiwi simu tena! tatizo liko wapi? ukiangalia huna uliyegombana nae ati labda kakwendea kwa mganga.

Rafiki yangu hapa anataka kujiua, ushauri tafadhari.
wengi tunazani yakuwa ma vyeti ndio uzoefu ushamaliza waajili sasa hivi wanaangalia sana attitude yako bro
 
Back
Top Bottom