Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Kila vijiwe watu wanachekelea tu
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇
Unawashwa makalioWatanzania wengi au ni wewe nyumbu tu. Mzzzzzz!###Ă—Ă—Ă—
Watanzania wengi wako wapi? nyinyi asilimia Tano mpaka kumi mnaotumia smartphone mnajipa utanzania hivi vitu vya kuchekesha sana.Kila vijiwe watu wanachekelea tu
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇View attachment 2821445
Kwani kuna timu Tz?Kila vijiwe watu wanachekelea tu
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇View attachment 2821445
Hahahaaa.......mpaka ccm itakapoondoka madarakani Tanzania itaghara kimataifaMorocco wamejua kukonga nyoyo za Wazalendo wa nji hii.
Utake usitake kweliii Ni wengiiiWatanzania wengi au ni wewe nyumbu tu. Mzzzzzz!###Ă—Ă—Ă—
Siku si nyingi hii timu itatengwa sababu ya mambo ya kisiasa. Ujinga tu, kama wanataka kuimarisha michezo wajenge academy za kutosha.Kila vijiwe watu wanachekelea tu
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇View attachment 2821445
Wewe umeona ni sahihi kampeni za Uchaguzi kuendeshwa kwenye Mechi ya soka?Chadema akili zao bna!!
Nendeni na mabango ya Samia Zambia, mtatukuta hapa Tunduma tunaisapoti Chipolopolo.watanzania wengi
Watanzania wengi wa Jamii forums
IrrelevantNendeni na mabango ya Samia Zambia, mtatukuta hapa Tunduma tunaisapoti Chipolopolo.
Watanzania wengi au wafuasi wa upinzani?Kila vijiwe watu wanachekelea tu
Ziech ziech.
Huu upuuzi umefanya stars kuchukiwa.👇View attachment 2821445