Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,778
Mwanangu na yeye anasoma
Juzijuzi kwa mara ya kwanza bibi yangu kashindia kiwanja alichokua anagombania na mkubwa
Tule tumatusi mtu ukiingia ofisini kidoooogo tumeisha
Kujua eti nchi yangu ni tajiri kwa kuwabudu watu kumeisha
Kauli za kufarijiana huju tunamaisha magumu zimeisha
Kale ka umwinyi mtaani naona sasa hivi tunaheshimiana
Tugharama twa maisha sasa hivi tumeshika wote
Habari ya mtu kutembea na jera mfukoni kidoooogo kumepungua
Madawati yamekua mengi huju mpaka yawwzekana watoto wakagawiwa mengine waweke akiba nyumbani
Na mwanangu toka nimnunulie yunifomu na madaftari asee naona na yeye anasoma sekondari nachojitahidi ni kuhakikisha akitoka shule afike anakula
Kwa mara ya kwanza hospitalini kwetu huku mgonjwa anahojiwa na muhudumu akiwa hayuko anachati tena kwa upoleee
Mke wangu akienda kliniki yale makofi alokua anapigwa na wahudumu sasa hivi naona kama ngeu zimepungua
Kazini kwangu bosi hajaigeuza ofisi kama kwake tenaa
Juzijuzi kwa mara ya kwanza bibi yangu kashindia kiwanja alichokua anagombania na mkubwa
Tule tumatusi mtu ukiingia ofisini kidoooogo tumeisha
Kujua eti nchi yangu ni tajiri kwa kuwabudu watu kumeisha
Kauli za kufarijiana huju tunamaisha magumu zimeisha
Kale ka umwinyi mtaani naona sasa hivi tunaheshimiana
Tugharama twa maisha sasa hivi tumeshika wote
Habari ya mtu kutembea na jera mfukoni kidoooogo kumepungua
Madawati yamekua mengi huju mpaka yawwzekana watoto wakagawiwa mengine waweke akiba nyumbani
Na mwanangu toka nimnunulie yunifomu na madaftari asee naona na yeye anasoma sekondari nachojitahidi ni kuhakikisha akitoka shule afike anakula
Kwa mara ya kwanza hospitalini kwetu huku mgonjwa anahojiwa na muhudumu akiwa hayuko anachati tena kwa upoleee
Mke wangu akienda kliniki yale makofi alokua anapigwa na wahudumu sasa hivi naona kama ngeu zimepungua
Kazini kwangu bosi hajaigeuza ofisi kama kwake tenaa