Naibu spika wa Bunge mh. JOB NDUGAI,jana aliishia kulalamika juu ya tabia ya watanzania kupenda kulalamika,kupitia kipindi cha Dk 45 kirushwacho na kituo cha I.T.V,NDUGAI alilalamika juu ya kadhia nying Sana
1.Alilalamikia tabia ya baadh ya Watanzania kupenda kulalamika baada ya kuchagua viongozi wao,ntamnukuu kwa juujuu'watanzania leo wanakuchagua,kesho wanalalamika eti Kiongozi fulani hafai'
2.NDUGAI analalamika kuhusu posho,kwamba mhimili wao unapata kiduchu sana,hata mishahara ya wabunge si sawa na maofisa wa TANAPA,TRA,BANDARI na NSSF, kuwa wao wanalipwa vizuri sana zaid yao(wabunge).Ndugai analalamika kuwa wao hata posho zao ni kiduchu,kama tungejua za idara na taasis nyingine tungejinyonga,so anataka waongezewe.
3.Ndugai analalamika kuwa watanzania ni wavivu,hawapendi kufanya kazi,hasa watumish wa umma,amelalamika kuwa wao hufanya kazi kwa muda mchache sana.
4.NDUGAI analalamika kuwa watanzania tunapenda sana siasa,hata kama si jambo la siasa lakin litafanywa la kisiasa,
My take:ulalamish wa watanzania unatokana na sisi wa'tz au watawala?
1.Alilalamikia tabia ya baadh ya Watanzania kupenda kulalamika baada ya kuchagua viongozi wao,ntamnukuu kwa juujuu'watanzania leo wanakuchagua,kesho wanalalamika eti Kiongozi fulani hafai'
2.NDUGAI analalamika kuhusu posho,kwamba mhimili wao unapata kiduchu sana,hata mishahara ya wabunge si sawa na maofisa wa TANAPA,TRA,BANDARI na NSSF, kuwa wao wanalipwa vizuri sana zaid yao(wabunge).Ndugai analalamika kuwa wao hata posho zao ni kiduchu,kama tungejua za idara na taasis nyingine tungejinyonga,so anataka waongezewe.
3.Ndugai analalamika kuwa watanzania ni wavivu,hawapendi kufanya kazi,hasa watumish wa umma,amelalamika kuwa wao hufanya kazi kwa muda mchache sana.
4.NDUGAI analalamika kuwa watanzania tunapenda sana siasa,hata kama si jambo la siasa lakin litafanywa la kisiasa,
My take:ulalamish wa watanzania unatokana na sisi wa'tz au watawala?