Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,353
- 3,535
Watanzania hakuna tunaloliweza aisee
Sisi naona tuti......ne tu
Nimesoma comments inaonekana nida ni vichwa maji. Bila bila.
Hivi majuu wanatumiaga uchawi gani jamani. Mpaka nakasirika aisee.
Vijana wamesoma IT wana design sysytemsili kurahisisha mambo system zenyewe hazifanyi kazi ilokusidiwa. Akili za kudesa desa tu mavyuoni
Na log off nsije nkafa kwa hasira
Sisi naona tuti......ne tu
Nimesoma comments inaonekana nida ni vichwa maji. Bila bila.
Hivi majuu wanatumiaga uchawi gani jamani. Mpaka nakasirika aisee.
Vijana wamesoma IT wana design sysytemsili kurahisisha mambo system zenyewe hazifanyi kazi ilokusidiwa. Akili za kudesa desa tu mavyuoni
Na log off nsije nkafa kwa hasira