Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Harvard kuna Sylvanus mmoja tu aliyesajiliwa kama mwanafunzi na sio Mtanzania/Mwafrika
Mi mwenyewe nahisi sio kweli, hawa jamaa walidanganya. Inawezekana tu hawa ni usalama wa taifa.
Harvard kuna Sylvanus mmoja tu aliyesajiliwa kama mwanafunzi na sio Mtanzania/Mwafrika
SILVANUS S SWAI alimaliza ilboru,,akala saba,,A 8 na B 2,Mwaka 2007
0097
M
SILVANUS S SWAI
7
I
CIV-A HIS-A GEO-B KIS-B ENG-A PHY-A CHE-A BIO-A BAS-A ADD-A
SILVANUS S SWAI alimaliza ilboru,,akala saba,,A 8 na B 2,Mwaka 2007
0097
M
SILVANUS S SWAI
7
I
CIV-A HIS-A GEO-B KIS-B ENG-A PHY-A CHE-A BIO-A BAS-A ADD-A
vipi wafuatiliaji wa mambo, tujuzeni kama walishaonana na JK au ndio story imepita hivyo!!!?" We shall grant you an interview after we have met the president, " they stated over the weekend in Ngorongoro District. Salvanus and Sylvanus will be special guests at the State House in Dar es Salaam this week when they meet President Jakaya Kikwete. The twins, born with extraordinary skills , said they will not be giving any official statement or interview and refused to take any photos
prior to their meeting with the Head of State.
Wangekuwa huku tungeshawakamat ana kuwafungulia mashtaka ya kutishia usalama wa nchi. Utarukaje juu bila idhini kutoka Aviation Authority!! unataka uruke halafu udumbukie Magogoni utuletee matatizo?japo sijaisoma habari yenyewe ila itakuwa watanzania ila hawakai tanzania
Hata Babu yangu kabla hajafariki alikua anatembelea ANGA za juu kila siku usiku...hii habari haijakaa sawa nakubaliana na waliotilia mashaka, inakuwaje wafike Mars na habari zao zipo blog za bongo tu, mitandao ya kimataifa hawapatikani, picha zao ni siri yao, mtu yuko majaribio ya degree ya kwanza hata hajaspecialize anaruhusiwa kufanya operation ya kichwa mwenyewe, hawaruhusiwi kuongelea wanakotokea mhhhhh
Wangekuwa huku tungeshawakamata na kuwafungulia mashtaka ya kutishia usalama wa nchi. Utarukaje juu bila idhini kutoka Aviation Authority!! unataka uruke halafu udumbukie Magogoni utuletee matatizo?japo sijaisoma habari yenyewe ila itakuwa watanzania ila hawakai tanzania
wangekuwa huku tungeshawakamat ana kuwafungulia mashtaka ya kutishia usalama wa nchi. Utarukaje juu bila idhini kutoka aviation authority!! Unataka uruke halafu udumbukie magogoni utuletee matatizo?
Mi mwenyewe nahisi sio kweli, hawa jamaa walidanganya. Inawezekana tu hawa ni usalama wa taifa.