Watanzania wafika Sayari ya Mars

nimefurahi sana kusikia hii habari lakini nadhani imekuwa exagrated hivyo nina mashaka na hiyo kuorbit around the mars planet kwakuwa according to what I have read from different sources ni kwamba bado mpaka hakuna mwanadamu ambaye ameweza kuwa ndani ya chombo chochote kilichotumwa mars hii ni kutokana na sababu kuwa vyombo vinavyokwenda mars vinachukua zaidi ya mwaka mpaka kufika.
NASA wanategemea kumtuma mwanadamu mars by mid 2030 ku orbit sayari ya mars sasa nashangaa hii habari imetoka wapi!?

Soma hapa kwa maelezo zaidi Manned mission to Mars - Wikipedia, the free encyclopedia
 
nahisi hii habari hawa daily news wameiwekea chumvi. NASA wana mpango wa kumpeleka binadamu wa kwanza aka orbit mars in the mid 2030, sasa nashangaa kusikia hawa wamesha orbit mars.
kwenda mars ni long trip over a year sasa hawa wame go and return sijui na chombo gani.
Mnakumbuka mwaka jana chombo cha NASA kinaitwa The Rover kilivyotua mars na ilikuwa bonge la headline kuanzia kuingia kwenye atmosphere ya mars mpaka ku land. Japo si chombo cha kwanza kutua mars lakini ilikuwa moja ya headline kwakuwa ni safari ngumu hata kama chombo hakina watu.
Muungano wa ulaya wamejaribu kutuma vyombo kadhaa na vimepotea mara kadhaa wanakula hasara.

I am glad ni watanzania lakini nina mashaka na habari yote kama ni sahihi
 
subiri mawakili wangu wamalize kuiandaa..ila ya kawaida tu..usiogope bebii..ulimaliza mbio..?

ok nasubiri.......bebii nilikimbia mpaka kila mtu alishangaa........wakajiuliza yule ni mtu au rocket......acha kabisa bebii.........
 
Tanzania: Intelligent Local Twins Visit Planet Mars


Arusha — THE Tanzanian twins who have made record for being the first 'astronauts' from Africa to fly to outer space and orbiting round Mars, the red planet, have just jetted back into the country. Sylvanus and Salvanus, who prefer to use the surname of 'Kawasange' their current guardian, are however, keeping mum about everything; "We shall grant you an interview after we have met the president," they stated over the weekend in Ngorongoro District.

Salvanus and Sylvanus will be special guests at the State House in Dar es Salaam this week when they meet President Jakaya Kikwete. The twins, born with extraordinary skills, said they will not be giving any official statement or interview and refused to take any photos prior to their meeting with the Head of State.

The identical twins, in their early twenties are both geniuses. Their talents were discovered since childhood while at their home village of Arash in Loliondo Division of Ngorongoro District. With support from President Kikwete, the American Embassy and the United Nations, they both secured places at Havard University in the United States.
It is difficult to tell them apart, but one is taking engineering while the other studies medicine. And sure enough, during their stay in Arusha the medical doctor performed eight different surgical operations at Karatu District Designated Hospital within a day.

All the operations were successful. On the following day the surgeon did an equally successful head operation at Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) in Moshi. The engineer reportedly can operate any piece of machinery after simply looking at it.

He may not need its manual or directions. He can also take any complicated piece of technology apart and repair or reassemble it in a few minutes. Their involvement in the National Aeronautics and Space Administration (NASA)'s exploration of the red planet (Mars) became an icing on the cake of their great achievements.

The twins are a living evidence on how bright Tanzanian youths from humble backgrounds can shake the world with their extraordinary skills. Being monitored closely by the state, the twins who returned here for a two-week vacation and have been staying with Mr Bruno Kawasange, the Conservator for the Ngorongoro Conservation Area Authority so that they could be within their home area.

LINK: http://allafrica.com/stories/201303040367.html.
.


Mkuu labda walienda space nyingine sio Mars, there is still no technology ya kubeba humans around Mars! Still hongera zao
 
Dah, hawa jamaa nawafahamu (Ni WAMASAI), HONGERA YAO SANA. Waliwahi kufundisha shule flani (temporary) kule wilaya ya Monduli inaitwa MOITA BWAWANI, ila waliposema wanasoma Havard hakuna aliyeamini(ikiwemo mimi) badala yake walionekana kama ni waongo.

Inawezekana hawa jamaa pia ni usalama wa taifa, matendo yao pale yalikuwa ni yakipelelezi tu japo ilikuwa vigumu kuwatambua, na kufanya walimu wengi pale staff wasiwaamini.

Ilikuwa kila muda wao wanataka kuwa darasani wakifundisha, japo walionekana wakienda kinyume na syllabus, walikuwa wanapenda kufuatana mara nyingi, na hakika wanampenda mama yao kweli. Wakisikia tu mama ni mgonjwa lazma waenda, tena wote.

Wanasema walisoma Ilboru miaka ya 2009, 2010 sasa sijui kwa wale waliosoma Ilboru miaka hiyo walikuwepo kweli au ni uongo.

Kama ni kweli hawa jamaa wanauwezo mkubwa kiakili kiasi hicho, iwe ni lulu kwa taifa letu na wasaidia kuleta mabadiliko ktk nchi yetu.
 
THE Tanzanian twins who have made record for being the first 'astronauts' from Africa to fly to outer space and orbiting round Mars , the red planet,

AISEE SISI WABONGO NI MAMBURULA NA TUMEZOEA KUINGIZANA CHAKA

UNDERLINE THIS:

"NO MAN HAS EVER ORBITING THE PLANET MARS EVER...."

USA WANAJIANDAA KU ORBIT MARS MWAKA 2033.... SASA HAWA TUNAAMBIWA TAYARI WAME ORBIT,

KINGINE JIULIZE HAWA NI ASTRONAUTS AU NI DOCTOR NA ENGINEER (MECHANICAL??)

WABONGO TUSIPENDE KUJISHADADIA ISHU ZA UONGO, NIMESIKITIKA SANA KUSOMA HII HABARI, HAINA TOFAUTI NA ILE ILIANDIKWA NA GAZETI LA MWANANCHI KWAMBA TYSON KABADILI JINSIA.

Habari ndio hiyo, Changa La Macho!!!
 
hii story haijakamilika.... ngoja tuipe mda tuone huo msaada wa jk ulikuwaje kwenye kuizunguka mars....
 
AISEE SISI WABONGO NI MAMBURULA NA TUMEZOEA KUINGIZANA CHAKA

UNDERLINE THIS:

"NO MAN HAS EVER ORBITING THE PLANET MARS EVER...."

USA WANAJIANDAA KU ORBIT MARS MWAKA 2033.... SASA HAWA TUNAAMBIWA TAYARI WAME ORBIT,

KINGINE JIULIZE HAWA NI ASTRONAUTS AU NI DOCTOR NA ENGINEER (MECHANICAL??)

WABONGO TUSIPENDE KUJISHADADIA ISHU ZA UONGO, NIMESIKITIKA SANA KUSOMA HII HABARI, HAINA TOFAUTI NA ILE ILIANDIKWA NA GAZETI LA MWANANCHI KWAMBA TYSON KABADILI JINSIA.

Habari ndio hiyo, Changa La Macho!!!

Yani hata mimi imenisikitisha sana kama kweli gazeti lilichokiandika ndicho wamesema hawa vijana, basi watanzania tunaonekana mamburula hata kwa watanzania wenzetu walio bahatika kwenda nje. Maana huu ni zaidi ya uongo na wengi wameamini wakati achilia mbali kwamba hakuna binadamu ambaye ka orbit mars, pia hakuna kifaa kilichowahi kwenda na kurudi toka mars. Uwa vinapelekwa na kubaki kule kule mpaka mission ikiisha. Na Rover nadhan ndicho latest now kuwa mars.
 
Yani hata mimi imenisikitisha sana kama kweli gazeti lilichokiandika ndicho wamesema hawa vijana, basi watanzania tunaonekana mamburula hata kwa watanzania wenzetu walio bahatika kwenda nje. Maana huu ni zaidi ya uongo na wengi wameamini wakati achilia mbali kwamba hakuna binadamu ambaye ka orbit mars, pia hakuna kifaa kilichowahi kwenda na kurudi toka mars. Uwa vinapelekwa na kubaki kule kule mpaka mission ikiisha. Na Rover nadhan ndicho latest now kuwa mars.

Mkuu hii habari ni uongo mtupu, bora wangetwambia tu jamaa ni geniuses na kuishia hapo, lakini for them to say wameenda Mars duh noma sana!
 
Hawa lazma wameshapewa uraia wa marekani,
kwa mujibu wa makala hii wapo vizur sana,
 
Gossip or News....orbiting around Mars??? labda kama waliizunguka dunia.
Tuachane na hilo, mpaka sasa Tanzania tumepoteza vipaji vingi sana kwa kuwa hakuna mfumo ulio bora wa kuatamia watu wa namna hiyo.
 
...wamekataa kuongea na wanahabari wala kupigwa picha mpk waonane na Rais JK..upo hapo

Daktari na injinia walienda kufanya utafiti anga za juu...!?? Mafanikio mengine haya kwa serikali ya Kikwete...
 
Gossip or News....orbiting around Mars??? labda kama waliizunguka dunia.
Tuachane na hilo, mpaka sasa Tanzania tumepoteza vipaji vingi sana kwa kuwa hakuna mfumo ulio bora wa kuatamia watu wa namna hiyo.

Eeh..! dogo tukiwaatamia tutatotoa vitu vingine kabisa, better we leave em the way they are...
 
Yani hata mimi imenisikitisha sana kama kweli gazeti lilichokiandika ndicho wamesema hawa vijana, basi watanzania tunaonekana mamburula hata kwa watanzania wenzetu walio bahatika kwenda nje. Maana huu ni zaidi ya uongo na wengi wameamini wakati achilia mbali kwamba hakuna binadamu ambaye ka orbit mars, pia hakuna kifaa kilichowahi kwenda na kurudi toka mars. Uwa vinapelekwa na kubaki kule kule mpaka mission ikiisha. Na Rover nadhan ndicho latest now kuwa mars.

Na mjomba wangu kwa kupenda kupiga picha...,, hapo amesema wasiongee na waandishi wa habari wala kupiga picha na mtu hadi akawazindue ikulu
 
nahisi hii habari hawa daily news wameiwekea chumvi. NASA wana mpango wa kumpeleka binadamu wa kwanza aka orbit mars in the mid 2030, sasa nashangaa kusikia hawa wamesha orbit mars.
kwenda mars ni long trip over a year sasa hawa wame go and return sijui na chombo gani.
Mnakumbuka mwaka jana chombo cha NASA kinaitwa The Rover kilivyotua mars na ilikuwa bonge la headline kuanzia kuingia kwenye atmosphere ya mars mpaka ku land. Japo si chombo cha kwanza kutua mars lakini ilikuwa moja ya headline kwakuwa ni safari ngumu hata kama chombo hakina watu.
Muungano wa ulaya wamejaribu kutuma vyombo kadhaa na vimepotea mara kadhaa wanakula hasara.

I am glad ni watanzania lakini nina mashaka na habari yote kama ni sahihi

Mkuu inawezekana kwa ungo, si ni wabongo!?? ungo una extra super sonic speed. In a fraction of a second Mars hii afu mnarudi mnaenda Loliondo then mnamtembelea Jk........, it takes a deadman's brains to take this news as true
 
Binafsi nawapa pongezi vijana wenzangu kwa vipaji vyao na umahiri wa kutumia vipaji vyao kwa faida ya watanzania.Mhe.Jk ni muwakilishi wa Watanzania, anabeba dhamana kubwa kwa ajili ya watanzania wote, bila shaka vijana hawa wanaujumbe kwa watanzania wanapenda kuutoa kupitia kwa Rais wetu.Aidha vijana wenye vipaji ni wengi, ni vyema wakapewa nafasi ya kuviendeleza vipaji hivyo.Hongereni Salvanus na Sylvanu
 
Eeh..! dogo tukiwaatamia tutatotoa vitu vingine kabisa, better we leave em the way they are...

Hahah....
Wenzetu huko mbele huwa wana taasisi maalumu za kulinda vipaji visipotee bure.
Kama unakumbuka ni mwaka jana tu kama sijakosea, wanafunzi wa Makerere University waliunda gari.
Maishani mwangu nimefanikiwa kukutana na Watanzania wengi tu ambao wana vipaji vya asili ambavyo huenda vingekuwa tija kwa Taifa.
Hata hawa vijana, hata kama watatunzwa vizuri na wakasoma digrii zote duniani, kama hakutakuwa na sehemu ya kuuvuna huo ujuzi wao, itakuwa ni kazi bure!
 
Back
Top Bottom